Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #281
Mimi Abdul tangu lini?Pole Abdul
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Abdul tangu lini?Pole Abdul
Endeleeni tu kuhamasisha kilichotokea Rwanda mwaka 1994Kwani Bakwata wana ufahamu wowote juu ya bandari? Si ajabu hawajui kinachoendelea😆😆😆
Wana nguvu gani?Ukishajua ni kwanini Dr Slaa ameachia haraka sana, utaijua pia Nguvu ya Wana wa Mungu.
Naona mmekurupushwa na Tec kila mnufaika wa hashtag za DP world anatoa milio kila kona 🤣🤣🤣!!1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Umeanza kunijua leo sio?Naona mmekurupushwa na Tec kila mnufaika wa hashtag za DP world anatoa milio kila kona 🤣🤣🤣!!
Upo sahihi mkuu hawa jamaa wanataka kutuondolea ugal wetu wa kupush agenda ya DP world!!Hao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.
We mpuuzi uliacha akili kwenye tumbo la mama ako[emoji1787]1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Hayo maswali hata upewe mwaka huwezi kuyajibuWe mpuuzi uliacha akili kwenye tumbo la mama ako[emoji1787]
Sina huo mda wa kujibu hayo maswali mavi [emoji867]Hayo maswali hata upewe mwaka huwezi kuyajibu
Ulikuwa wapi wakati hukumu inatolewa?Weka sehemu ambayo maamuzi ya mahakama yalisema mkataba una kasoro nyingi.
Pia kabla ya kutoa tamko TEC walitaka kupata ufafanuzi kutoka kwa serikali na hivyo wamejiridhisha kuwa mkataba ni mbovu...SHURA YA MAIMAMU walitoa tamko zuri na liko very balanced na hakuna kilichoharibika.
..TEC kwenye hiyo statement yao wameeleza kwamba wamekutana na watu wa serikali ktk ngazi mbalimbali.
..Mimi nadhani Watanzania tunapaswa kujiongeza ili tuweze kusikiliza maoni ya Mashekhe, au Maaskofu, bila kushinikizwa na IMANI zetu.
Wewe ni mpumbavu!! Jadlli hoja moja hadi nyingine ya tamko la TEC, na uje na hitimisho sahihi. Ulichofanya hapo ni umekwepa kupangua DIRECTLY hoja za TEC.1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Hii nchi bado haijawa tayari kuongozwa na mwanamke..Mkataba wa bandari ni mkataba wa kurudisha utawala wa sultan sio wa kuleta maendeleo
Alichofanya samia ni kusaidia waarabu kuja kutawala TANGANYIKA
Inaonekana samia na waarabu wanamipango mingi iliyojificha ambayo sio mizuri juu ya TANGANYIKA yetu ambayo sisi hatuijui
Rudisha Muamala wa Waarabu. Hizo Dollar zitawatokea kwenye Kinyeo.Umeanza kunijua leo sio?
Hiyo ndo sehemu yako ya hukumu?Ulikuwa wapi wakati hukumu inatolewa?
Mimi nimeuliza maswali yenye hojaWewe ni mpumbavu!! Jadlli hoja moja hadi nyingine ya tamko la TEC, na uje na hitimisho sahihi. Ulichofanya hapo ni umekwepa kupangua DIRECTLY hoja za TEC.
Wahuni tuu HAO hawana lolote1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Wewe na Hilo Baraza NI wahuni tuuMkataba wa bandari ni mkataba wa kurudisha utawala wa sultan sio wa kuleta maendeleo
Alichofanya samia ni kusaidia waarabu kuja kutawala TANGANYIKA
Inaonekana samia na waarabu wanamipango mingi iliyojificha ambayo sio mizuri juu ya TANGANYIKA yetu ambayo sisi hatuijui
Lord denning, si kwamba "wanajiona ni sehemu ya uongozi wa nchi hii", bali NDIO WANAOONGOZA nchi hii. Rais Samia Suluhu Hassan na mwenzake Prof. Makame Mbarawa na serikali kwa ujumla wanajua hili na ndiyo maana baada ya rejection ya mkataba huu toka kwa umma, watu wa kwanza kutafutwa na serikali kujaribu kuwashawishi walikuwa hawa.!!Kuna makosa Serikali ilifanya na haya ndo yanafanya hawa wapuuzi wajione kama sehemu ya uongozi wa hii nchi.
Ajabu ni kwako. Umepigwa butwaa, umechanganyikiwa.Ni mambo ya ajabu kabisa. Eti wanatoa tamko kutaka serikali iachane na mkataba wa Bandari?
Wao ni kama wewe tu. Ni wananchi kama wewe. Wametoa maoni na ushauri wao. Na statement haiwalazimishi serikali kufuata ushauri wao. Ila kama serikali inapima nguvu ya hoja na kamwe sio hoja za nguvu kama hizi za kwako, then itachukua maamuzi sahihi..Wao kina nani nchi hii?
Bila shaka tunawasubiri kwa hamu kubwa. Kwani mwisho wa siku deciding factor ya uzuri au ubaya wa hili jambo la Samia Suluhu Hassan itakuwa ni hoja na sio tamko la maneno matupu tu..!!Kesho BAKWATA wakitoa tamko kutaka Serikali iendelee na mkataba??
Can you listening to yourself?Wanataka kuifanya hii nchi iingie kwenye matatizo hawa wajinga.