Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

mkuu TRA wanasoma hadharani,kwamba tumewaachia watuhumiwa 126 WALIOKUA WAMEFUNGWA KWA KESI ZA KUBAMBIKIWA,unadhani polisi wanakuwa na ujasiri wa kushughulika na mharifu kinyume na sheria????hapo ndipo wananchi wanaendelea kukobolewa sasa.

binafsi nimsisitize mama,kama hataruhusu mkono wa chuma,mengi na mabaya tutayashuhudia sana utawala wake.

kuna mambo kwa asili yake tu hayataki siasa na tafadhali nyingi.unaharibu.
Nendeni Rwanda kwenye mkono wa chuma, hao vibaka watathibiwa tu soon ni kawaida yao kuujaribu uongozi mpya.

Hata magu alivyoingia walimjaribu na ndio mwanzo wa kutoa hiyo kauli yake kwamba wanyang'anye silaha zao haraka haraka hao majambazi

So hizo habari za kutuambia sijui tutamkumbuka magu ni kauli za sukuma gang ambao itawachukua muda kuzoea kuishi bila semi god wao.

Mzoee tu.Mama chapa kazi, hata marekani ambapo kuna vyombo imara vya ulinzi na usalama kama vile F.B.I, C.IA, NSA, NATIONAL GUARD nk.lkn bado ujambazi haujakomeshwa.
 
Ipigwe kura ya siri kuwatambua majamnazi kama enzi ya lyatonga!
Tunaishi nao mtaani hawa!
Watu.10 hawawezi kukusingizia ujambazi!
 
Akili anayo! Wewe ndiye hauna akili.Mtanzania yeyote mwenye mapenzi na nchi yake lazima ataona tofauti kubwa na udhaifu wa serikali iliyopo na lazima ataikumbuka serikali iliyopita japo haiwezekani kuirudisha.
Watanzania au wewe peke yako?
 
Nendeni Rwanda kwenye mkono wa chuma, hao vibaka watathibiwa tu soon ni kawaida yao kuujaribu uongozi mpya.

Hata magu alivyoingia walimjaribu na ndio mwanzo wa kutoa hiyo kauli yake kwamba wanyang'anye silaha zao haraka haraka hao majambazi

So hizo habari za kutuambia sijui tutamkumbuka magu ni kauli za sukuma gang ambao itawachukua muda kuzoea kuishi bila semi god wao.

Mzoee tu.Mama chapa kazi, hata marekani ambapo kuna vyombo imara vya ulinzi na usalama kama vile F.B.I, C.IA, NSA, NATIONAL GUARD nk.lkn bado ujambazi haujakomeshwa.
Wewe ni taahira huna unalojua mbwa wewe
 
Kwa nini Mama alaumiwe?

Je, ni kweli kwamba Mama ameagiza Polisi waache kushughulika na UHALIFU na WAHALIFU?

Au, Kamanda Siro na timu yake wameamua kuachia UHALIFU NA WAHALIFU ili Mama Mh. Samia Suluhu Hasan "ALAUMIWE"

LAWAMA ZIELEKEZWE KWA KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.

WA KUWAJIBIKA NA AU KUWAJIBISHWA NI KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.
Wewe na mkeo Nani mwenye maamuzi ya mwisho linapokuja swala la uamuzi???
 
Hapa naanza kuona umuhimu wa Mzee wetu JPM, [emoji848][emoji848][emoji2960]
 
Kipindi cha chuma hawa askari walikuwa na ujasiri wa kumalizana na Hawa Wapuuzi huko huko site na walikuwa na mtu pale juu wa kuwalinda na kuwapigania. Sasa hivi hata wao wanaona hizo harakati tu za kuwatoa huko magerezani wahalifu wenye vinasaba na wakubwa huku wakielekezwa wapunguze kesi na kupeleka mambo kidemokrasia. Sasa demokrasia na jambazi wapi na wapi !! Sasa wewe unadhani kuna askari atakuwa tayari kwenda front kupambana na jambazi kidemokrasia ? Wape askari ujasiri kwa kuwalinda utaona kama hao majambazi hawatanyooka. chukulia mfano wa issue ya kibiti jinsi walivyonyooshwa kimya kimya hadi leo ni stori, unaweza kuta asilimia kubwa ya wale wasumbufu walipelekwa peponi kimya kimya hadi wengine wakaogopa. kwa sasa ni mwendo wa ruksa, hapo jiandae kusikia kg za kule mafia zinazidi kupungua na mwisho wa siku mtaambiwa ni raw materials za nini sijui !!! Sasa tupo kwenye kipindi cha demokrasia so ni muda wa kila mmoja kutamba kwa muda na fani yake
Mnatumia Akili zenu za kijinga kupotosha kauli za Rais
 
Kwa nini Mama alaumiwe?

Je, ni kweli kwamba Mama ameagiza Polisi waache kushughulika na UHALIFU na WAHALIFU?

Au, Kamanda Siro na timu yake wameamua kuachia UHALIFU NA WAHALIFU ili Mama Mh. Samia Suluhu Hasan "ALAUMIWE"

LAWAMA ZIELEKEZWE KWA KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.

WA KUWAJIBIKA NA AU KUWAJIBISHWA NI KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.
Mkuu ni kweli hujui nguvu ya rais kwenye vyombo vya ulinzi na usalama??
 
Hapa kuna tatizo jeshi la polisi kwasababu ni polisi hawahawa chini ya IGP yuleyule walitokomeza ujambazi kipindi cha Mwendazake, na ni polisi hawahawa na IGP huyohuyo wanashindwa kutumia mbinu zilezile walizotumia wakati wa Mwendazake katika kudhibiti uhalifu wakati wa Samia

Bila shaka kuna hiden agenda behind the scene

Mama Samia tafuta IGP anayeweza kudundika na midundo yako
Kuna sehemu huelewi vizuri.
 
mkuu TRA wanasoma hadharani,kwamba tumewaachia watuhumiwa 126 WALIOKUA WAMEFUNGWA KWA KESI ZA KUBAMBIKIWA,unadhani polisi wanakuwa na ujasiri wa kushughulika na mharifu kinyume na sheria????hapo ndipo wananchi wanaendelea kukobolewa sasa.

binafsi nimsisitize mama,kama hataruhusu mkono wa chuma,mengi na mabaya tutayashuhudia sana utawala wake.

kuna mambo kwa asili yake tu hayataki siasa na tafadhali nyingi.unaharibu.
Kama kuna mtu hataelewa hapa, apelekwe hospitali.
 
Nendeni Rwanda kwenye mkono wa chuma, hao vibaka watathibiwa tu soon ni kawaida yao kuujaribu uongozi mpya.

Hata magu alivyoingia walimjaribu na ndio mwanzo wa kutoa hiyo kauli yake kwamba wanyang'anye silaha zao haraka haraka hao majambazi

So hizo habari za kutuambia sijui tutamkumbuka magu ni kauli za sukuma gang ambao itawachukua muda kuzoea kuishi bila semi god wao.

Mzoee tu.Mama chapa kazi, hata marekani ambapo kuna vyombo imara vya ulinzi na usalama kama vile F.B.I, C.IA, NSA, NATIONAL GUARD nk.lkn bado ujambazi haujakomeshwa.
Unataka kuhalarisha kitu gani wewe!!!!
Tulimsihi toka mwanzo kwamba hana sababu ya kuacha mazuri aliyoyafanya magu kwa maslahi ya taifa na wananchi.
Kama ni vikundi vinamjaribu yeye,sawa.sisi tunataka matokeo ya hatua.

Vinginevyo hakuna namna magu ataacha kutajwa tajwa kama mambo yataendelea kuharibika.
 
Dada mzuti unakuwasha sana,njoo nkupe kilambio
ndio maaana tunawaomba polisi wetu wasiwachekee,
peleka mochwari tu. sasa tuone kati ya Majambazi na na Polisi nani zaidi.

Pia tunaomba wakisha uwawa au kukamatwa picha zao ziwe zinasambazwa ili tuwafahamu hata ndugu zao wanao lea majambazi na hawataki kuwafichua au kutoa taarifa polisi.
 
Unafikiri huo uliisha. Tatizo ilikuwa nani atathubutu kuripoti?
Una maana watu walikuwa wanapigwa risasi na majambazi na kufa, ndugu zao wanakaa kimya na kuzika kimya kimya. Kweli?
 
Afande sina cha kueleza, taarifa zinajitosheleza hapa chini!
View attachment 1792209
Tukio la kusikitisha limetokea leo mchana maeneo ya Juliana Mbezi beach ambapo Jimson Kibiki amefariki baada ya kupigwa risasi.

Kutokana na vyanzo vya mashuhuda Jimson alivamiwa alipokuwa ametoka bank na kuporwa na majambazi kiasi cha fedha ambacho mpaka sasa hakijajulikana.

Baada ya kupigwa risasi alipatiwa huduma ya kwanza na kusaidiwa kufika kituo cha afya lakini baada ya kufika hospital akapoteza maisha.

Jeshi la polisi bado linaendelea na uchunguzi na tutaendelea kukujuza kila kinachoendelea.
vijana wa BODA BODA hawa, ndio wancheza hizi vitu
 
Nini solutionKidogo inaanza kutia wasiwasi.

Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao.

Hivi polisi nao wamebadili utendaji kazi wao uliokuwa umedhibiti uhalifu wa aina

Samia atalinganishwa na mtangulizi wake ka
Hujapendekeza solution yoyote mkuu,umeelezea tatizo tu.
 
Back
Top Bottom