Huyo hajakamatwa, bali kachukuliwa kwenda kuisaidia Polisi ili kusaidia kupatikana kwa haki ya huyo aliyewekwa ndani kwa kesi ya mauaji wakati hajaua.Polisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)
Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.
Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.
Hiyo ndio post yake ya mwisho ⏬
Duh ndio imemletea shida?Polisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)
Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.
Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.
Hiyo ndio post yake ya mwisho [emoji675]
Unataka nisikitike au?Waonekana kuwa na furaha sana eh?
Wakamgonge kwanza,akitoka atatulia,hashua zitakua zimeishaHuyu mdude Hana nidhamu yoyote na hujui maana ya uhuru wa kujieleza!! Yeye ni matusi na kuropoka mambo ambayo hata viongozi wake wakuu wa chama hawawezi kuthubutu kuyajadili yule ni Moko ! Aende akafundishwe nidhamu na uzalendo kuwaruhusu kufanya siasa haimaanishi mkavunje Sheria na kutukana viongozi shame!
Sasa hio post yake ndio imemletea sintofahamu sometimes Uhuru ukizidi sana ni mbaya sana,Polisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)
Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.
Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.
Hiyo ndio post yake ya mwisho ⏬
Mdude ni Shujaa
Kosa la Shujaa Mdude ni lipi ?
Hilo ni jitu pumbavu kabisaKuna tetesi nasikia kuwa mdude Chadema amekamatwa muda huu anaelekea kwa RCO! Mdude chadema sumu ya nyigu
Mdude ni jitu la hovyo kabisaPolisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)
Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.
Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.
Hiyo ndio post yake ya mwisho ⏬
Nani mwizi wa kura.
Nakusikia.
Huyo Mdude alikuwa akipiga kura ndio akamatwe?
CHADEMA mtasema mengi, mtasengenya, mtabeza...lakini mwisho wa siku hakuna atakaye wachagua.
Acha hizo ulimuonyea wapi?Huyu hajapewa asali ya maridhiano naona yeye na Heche ndio wanatumia Lissu yupo kwenye waiting list akilipwa tu na mikutano itakwisha
Tulimuonya raisi Samia kuwa hawa barvicha hawa bebeki akaleta upemba ona sasa
USSR
Ushujaa wa matusi?Mdude ni Shujaa