Afadhali wamemkamata hawaja mteka. Na hatutegemei kuona wamemtesa badala yake watamfungulia mashtaka kwa mujibu wa tuhuma alizonazo.Kuna tetesi nasikia kuwa mdude Chadema amekamatwa muda huu anaelekea kwa RCO! Mdude chadema sumu ya nyigu
Na ona leo hawajamteka wamemkamata. Hii ndio utaratibu wa kipolisi.Katumwa ns lissu huyo
Vipi leo wamemkamata au wamemteka?? Big diffeferenceSasa wewe unataka vibaka wachekewe?
Kikosi cha kuteka na kutesa hakina nguvu tena.Wacha afinywe kidogo huyu kamanda uchwara😂
Kuteka na kukamata kupoje?Na ona leo hawajamteka wamemkamata. Hii ndio utaratibu wa kipolisi.
Asante Polisi kwa mabadiliko.
Unajifanya hujui😅😅😅Kuteka na kukamata kupoje?
Ana mdomo mchafu sanaKuna tetesi nasikia kuwa mdude Chadema amekamatwa muda huu anaelekea kwa RCO! Mdude chadema sumu ya nyigu
In Sabaya's voiceAna mdomo mchafu sana
WAMFINYE VYA KUTOSHA
Muulize huyo mdudu🙂Vipi leo wamemkamata au wamemteka?? …
🤣In Sabaya's voice
Napenda iwe hivyo lakini mbona Jana gazeti la mwananchi limesema Kuna ndugu wanalia ndugu yao kutekwa? Wanasema siku ya 14 haonekani?Kikosi cha kuteka na kutesa hakina nguvu tena.
Sasa unalalamika nini?Kikosi cha kuteka na kutesa hakina nguvu tena.
Polisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)
Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.
Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.
Hiyo ndio post yake ya mwisho ⏬
Sijui, maana magazeti kila mara naona yanaandika bado hii kitu kuteka. Hili ni gazeti la mwananchi la JanaUnajifanya hujui[emoji28][emoji28][emoji28]
Hakuna anayelalamik. Mlichotarajia kufanyika hakipo tena. Hizi ni Enzi za Samia.Sasa unalalamika nini?
Ndio maana Famikia haijalia ndugu yao kukamatwa......ndio tofauti hiyoSijui, maana magazeti kila mara naona yanaandika bado hii kitu kuteka. Hili ni gazeti la mwananchi la JanaView attachment 2517621
Eeh bana eeh lugha gani hii sasa?Tuna.koerekeya chamacha mapiduzi tuta ki.choka. tunataka kahibamupya.tumika taa uwonevu dunataka katibamubya.
Akina nani?…Mlichotarajia kufanyika hakipo tena. Hizi ni Enzi za Samia.