Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Familia haijalia ndugu yao kukamatwa? Sijui sijakuelewaNdio maana Famikia haijalia ndugu yao kukamatwa......ndio tofauti hiyo
Wewe mpuuzi hata kama ni nyokaHapana wampige pumb kwanza akija mtaani atulie
USSR
Hivi chama tawala ni kipi so far?Afadhali wamemkamata hawaja mteka. Na hatutegemei kuona wamemtesa badala yake watamfungulia mashtaka kwa mujibu wa tuhuma alizonazo...
Ni ccmHivi chama tawala ni kipi so far?
Na awamu ya 5 kilikua ni chama gani?Ni ccm
Na awamu ya 5 kilikua ni chama gani?
hata Kama ni upinzani ila huyo jamaa nadhani ana matatizo ya akili,sio mzima mdude ..ile ni mental case#Freemdude
Viongozi hawa hawa majizi ya kura? Ukitaka kuheshimiwa ingia madarakani kwa njia za heshima. Kilichotokea uchunguzi wa 2020 ni zaidi ya matusi.Huyu mdude Hana nidhamu yoyote na hujui maana ya uhuru wa kujieleza!! Yeye ni matusi na kuropoka mambo...
Huyo jamaa Mdude anakauli mbaya sana,hasta kama ni uvumilivu aisee hakunaHapana wampige pumb kwanza akija mtaani atulie
USSR
Di unapost kutumia infinix
Mbona MAGUFULI alizurura Nchi kuonyesha kafa huku hojiAkitoka huko atembee na yeye kuonyesha majeraha.
Bila shaka ni magu ndo amefufuka[emoji116]View attachment 2517473
Labda hili ndiyo limeleta shidaTaarifa ikufikie popote ulipo Usiku huu kwamba , Yule Mtu wa Mungu Mdude Nyagali , kada maarufu wa Chadema aliyeishinda serikali ya ccm Mahakamani , ameachiwa huru
Mdude alitekwa na Askari mamluki ambao bado wana akili za utesaji wa serikali Katili ya Magufuli , lakini kwa nguvu ya mitandao na hasa Mtandao wa JamiiForum , mamluki hao wameufyata na kumwachia huru .
Natoa Wito kwa Jeshi la Polisi na TISS kuondoa watu wote wenye akili za kinyama za awamu ya kishamba sana ya 5 .
Mungu ibariki Tanzania .
View attachment 2517817