Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mariamu alichumbiwa akiwa na miaka mingapi ?
Leo umeona Wayabudi wanaoza vitoto vya miaka 9 ?
Mfano wako kwa Ndoa za Wayahudi unautoa wapi.

Wayahidi kwa taarifa yako ndiyo jamii inayo jali sana elimu.
Mabinti wengi wa Kiyahudi ni lazima wasome maarifa ya dunia nadhani unawaona kwenye Majeshi na nyanja nyingine za kitaaluma.
Wacha kuwazungumzia Wayahudi jamii inayo thamini elimu kwa kila raia wake.
Ongelea hao wanao pitisha sheria za kununua vibinti vichanga toka katika familia masikini ili wafurahie zoezi la kuvibikiri.
Na wakisha vibikiri wana vifunika majuba na ndio mwisho wa kuvipatia Elimu.
Familia inayo jitambua haiwezi kufanya huo ujinga.

Kitoto cha miaka 9 unakioza badala ya kukipa elimu huo ni umasikini wa mali na fikra.
Jibu swali kwanini kwenye koo za kiyahudi wanawake walikuwa hawatajwi kama wanawajali? shida ni kupingana na ukweli usifananisha maisha ya sasa na ya kale, yule Yakobo alikwenda kuoa mtu na dada yake wa tumbo moja, kwa jamii ya sasa ni mzazi yupi anaweza kufanya hivyo ? shida unaangaika kutetea jambo ambalo ni halisi utapata tabu sana, Mfalme Sauli wa Israel alimuozesha mwanae kwasababu za kitawala tu na kumuogopa Daudi ambaye alikuwa masikini, acha kulazimisha zama zifanane
 
acheni kujificha kwenye kivuli cha kuvunja ungo,maumbile ya binadamu yanatofautiana katoto ka miaka saba kanaweza kuvunja ungo huku bado hata chuchu hakina ,nyonga hazijakomaa,akili haijakuwa wala nguvu za kuhimili kuingiliwa na mtu mzima hana na shule ndio atakua darasa la kwanza ,unawezaje kuoa hako katoto kwa kuwa tu mtume wako alifanya hivyo.kufanya hivyo kunaweza kupelekea kumuharibu vibaya huyo mtoto via vyake vya uzazi ,nadhani hata huyo aisha ambaye ndio rolemodel wenu kwenye haya hajaweza kuzaaa katika maisha yake yote
Mtoto wa kike anaweza kuolewa kwa kuvunja ungo tu hii ndio sheria ya asili, haya mengine yetu binadamu
 
Suhendra, mtoto wa miaka 9 akiolewa, shule anakuwa amesoma muda gani?

Au kwenye uisilamu mtoto wa kike hatakiwi kusoma?
Mnashindwa kuelewa jambo moja wakati sheria hizi zinatoka wanawake walikuwa ni daraja la chini sana hapa duniani, ndio maana hata kwenye koo walikuwa hawawekwi, wanasubiri wavunje ungo wakaolewe
 
Suala la Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- kumuoa bi Aisha katika umri ambao unaonekana mdogo, hutakiwi kulitazama na akili iliyokuwa programmed namna ya kufikiria.

Bali unatakiwa ufikirie kwa akili salama amabayo haijaathirika na fikra hasi.

Ukilitaza suala hili kana kwamba Mtume alimuoa bi Aisha kwa lengo la kukidhi matamanio yake ya kingono, basi lazima utaliona suala hili ni batili.

Bi Aliolewa kwa maslahi mapana, ndio maana baada ya kufa Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- bi Aisha alimaliza umri wake katika kufundiaha watu sunnah za Mtume, na Bi Aisha ndiye mke wa Mtume ambaye amesimulia hadithi nyingi za Mtume kuliko mke yoyote wa Mtume.

Hilo suala halipo kama wengi wanavyolitazama.
Ilikua ni lazima kumfanya mke ili kutimiza hilo?

Kwanini hakua tu mlezi wa kiroho? Mwalimu/Kiongozi kwa hayo manufaa ya baadae?
 
Kwahili la kumuozesha mtoto wa 9, wallah acha tu niende..!! Huyu wa miaka 9 ni wa la tatu B ujuwe..!!
Kila la kheri ili letu kafanya binadamu mbona linavumilika, kitendo cha Mungu kupigwa na wahuni hakivumiliki
 
Yani wewe unashtuka leo? Kwani mtume Muddy si alioa mtoto wa miaka 9.!!
Dini za kiwaki zipo kukandamiza wanawake na kututisha kwingi, halafu wanaume wamejipakulia minyama..!!

Mwanaume anaruhusiwa kumiliki wanawake wanne..!
Mwanaume huyo huyo yeye anamiliki pepo ya kumpa mkewe pindi akimfanyia mema.!!

Mwanaume tena huyo huyo akifa anaenda kupewa mabikra 72 na mapipa ya pombe.!

Ila mwanamke yeye ili aipate pepo basi awe mtumwa kwa kumfurahisha mumewe..!! 😹😹
Hapo hapo Bado wanawake wa kiislamu wanadai uislamu unawaoa nguvu sana.
Niliona sheikh mmoja aliulizwa wanawake watapewa nini huko mbinguni? Akadai eti watapata vitu vizuri mno ambavyo hata havijatajwa popote..
Mambo ya kijinga sana.
 
Back
Top Bottom