Mkataba wa kuendesha Bandari za Tanzania wa DP WORLD ya Dubai hautazihusu Bandari za Zanzibar
Nchi inafunguka, naona back door inaenda kuinufaisha Zanzibar kupitia kupigwa mnada bandari ya Watanzania
 
ZANZIBAR NI KAMA MKOA

..Ni kama " mkoa " lakini serikali ya jamhuri haina mamlaka kugawa rasilimali zake.

..Zanzibar wakiamua kuuza bandari yao uamuzi hufanywa na serikali ya Zanzibar, na Raisi na Waziri kutoka Zanzibar.

..sasa hivi bandari ya Tanganyika inauzwa, lakini wanaosimamia ni raia[ Samia, Makame Mbarawa] toka Zanzibar.
 
Miongoni mwa siri zilizofichuliwa leo kuhusu Mkataba wa kuiuzia kampuni ya Waarabu Bandari za Tanzania, imo habari kwamba Bandari zitakazohusika ni zile za Tanganyika Pekee, za Zanzibar hazitahusika.

Ikumbukwe kwamba Bandari ni miongoni mwa mambo ya Muungano, ikiwa kama jambo hili lina faida kwanini tunaitenga Zanzibar. Je, Wazanzibar hawataki faida?

Bali kitu pekee ambacho tumekiona ni kwamba Waziri Aliyesaini Mkataba huu anayeitwa Makame Mbarawa anatokea upande wa Zanzibar kama alivyo Rais Samia Suluhu Hassan.
Lazima watuuze sisi kwaajili ya survival yao
 
Mapato yatakayotokana na bandari za Tanganyika ni ya muungano na Zanzibar inapata mgao wake achilia mbali mgao wa 4.5% BoT kwa pato linalotokana na rasilimali za Bara.

Sasa hivi Zanzibar wanampango wa kulipa wajumbe wa nyumba kumi mishahara. Tayari wazee wanalipwa pensheni na waliobaki wanatumia umeme bure. Hapo hawajui gharama za ulinzi , mambo ya ndani na nje au taasisi zingine za muungano.

Huyu Mbarawa anakuwaje waziri wa jambo lisilo la muungano? Sasa Rais wa JMT ni Mzanzibar, Rais wa SMZ ni Mzanzibar na Waziri ni Mzanzibar. Nani anamtetea Mtanganyika kwa usawa huo.

Uuzwaji wa bandari hauna uchungu isipokuwa kwa Watanganyika.
Nyerere, Mkapa, Kikwete , JPM walijua hilo hawakuwahi kufikiria. Walijua ni rasilimali na hazina za Watanganyika
Mwinyi aliuza Loliondo ''ujombani'' akiwa na Waziri Diria. Historia bwana!



JokaKuu Pascal Mayalla
Mama ni muOman kaamua kuwapa bandari ndugu zake wa Dubai DP WORLD halafu Waarabu na Makanjibai wanavyo ongoza kumiliki vitalu vingi vya uwindaji na kununua ardhi za Hifadhini tutarajie ongezeko kubwa sana la uwindaji haramu na usafirishaji wa wanyamapori na nyara za taifa.
 
Tanganyika tunafungwa minyororo ya utumwa kwa Mara nyingine why not Zanzibar? TunatakabTanganyika huru!Tanganyika huru no Sasa!!!!!!!!!!?watanganyika amkeni! amkeni!amkeni! Huko mliko acheni Mambo za kushangilia Simba na. Yanga,Tanganyika kwanza! Tanganyika ni kubwa kuliko Simba na Yanga,kwenye ubinafsishaji watanganyika hatujawahi kufanya vizuri,tukipigwa Sana,tuliibiwa saaana,rejea ubinafshaji wa NBC,TRC,RICHMOND,IPTL,,ATCL,TIPER,kote huko tukipigwa saan,Hawa viongozi Hawana uchungu na raslimali za nchi hii,wanafanya Mambo Kama wanajiandaaa kufa kesho,wasitegemee kuishi Tena kesho,Amkeni watanzanzania Sera za kukunana migongo zimeanza Tena Bora magufuli alizikataa AMKENIIII
 
It is too sad, mimi kufanya kitendo cha wizi nikiwa na akili zangu timamu kweli siwezi kwan sitoweza kuisustain aibu ya wizi tena hasa huo mmama lijizi??
 
Miongoni mwa siri zilizofichuliwa leo kuhusu Mkataba wa kuiuzia kampuni ya Waarabu Bandari za Tanzania, imo habari kwamba Bandari zitakazohusika ni zile za Tanganyika Pekee, za Zanzibar hazitahusika.

Ikumbukwe kwamba Bandari ni miongoni mwa mambo ya Muungano, ikiwa kama jambo hili lina faida kwanini tunaitenga Zanzibar. Je, Wazanzibar hawataki faida?

Bali kitu pekee ambacho tumekiona ni kwamba Waziri Aliyesaini Mkataba huu anayeitwa Makame Mbarawa anatokea upande wa Zanzibar kama alivyo Rais Samia Suluhu Hassan.
Sa100 must go!!!!

Amejua hakubaliki, hagombei anataka kutuachia manyoya!!!!
 
A huge miscalculation by SSH. Watanzania (watanganyika) wameibiwa sana kwa mgongo wa ubinafsishaji, yaani serikali inatumia matrilioni kuwekeza kwenye kitu alafu mwisho wa siku wahuni wachache wanapiga dili na kuuziwa kwa bei za kutupa.

Imetokea tena na tena na tena, ATCL, TTCL, TRC, NBC, mashamba ya serikali, nyumba za serikali, viwanda vya serikali na mengine mengi. Bado CCM haijifunzi tu??
FaizaFoxy anasema eti zanzibar walishaingia hiyo mikataba zamani! Spinning at work!
 
Na ndio ubaya wa Tanganyika kusahau mambo ya msingi na kushadidia upuuzi
Ngoja muwekewe Derby la simba yanga mtasahau yote
Ngoja mletewe matamasha ya wasani
Wazunguke mikoa yote mtasahau kila kitu
[emoji1]

Ova
 
Ngoja muwekewe Derby la simba yanga mtasahau yote
Ngoja mletewe matamasha ya wasani
Wazunguke mikoa yote mtasahau kila kitu
[emoji1]

Ova
Sasa wanatafuta Cha kutuvuruga tutoke kwenye reli.

Kuna watu wako kitengo maalumu kabisa kuorganize hizi ishu
 
Members Toka Lumumba Buku Saba Njooni Huku Chama Kimeshika Hatam (Patamu)
Uza Uza Chochote Isipokuwa Zanzibar Tu, Pesa Za Uviko Walipata Zote
 
Bandari za Zanzibar nadhani kwa sababu ni ndogo na hazihudumii mizigo mingi kama za Tanzania Bara !!

Nakumbuka Rais Kagame alipata kusema anaweza kuendesha Nchi kwa kutumia mapato ya Bandari na Utalii tu !! 😅😅

Sijui alikuwa anakusudia Nchi ipi ya hapa Afrika mashariki !
Alimaanisha nchi ya Afrika nzima kama bara. Ujue Kagame baada ya Gaddafi kutoweshwa, huwa anajihesabu kama rais pekee wa Afrika nzima; hawa wengine wote ni wakuu wa majimbo yake 52.
 
Miongoni mwa siri zilizofichuliwa leo kuhusu Mkataba wa kuiuzia kampuni ya Waarabu Bandari za Tanzania, imo habari kwamba Bandari zitakazohusika ni zile za Tanganyika Pekee, za Zanzibar hazitahusika.

Ikumbukwe kwamba Bandari ni miongoni mwa mambo ya Muungano, ikiwa kama jambo hili lina faida kwanini tunaitenga Zanzibar. Je, Wazanzibar hawataki faida?

Bali kitu pekee ambacho tumekiona ni kwamba Waziri Aliyesaini Mkataba huu anayeitwa Makame Mbarawa anatokea upande wa Zanzibar kama alivyo Rais Samia Suluhu Hassan.
Hapa tunakwenda kuachiwa zigo la mavi alafu watu wasepa kurudi kwao zanzibar ambako hakuna mkataba kikenge kama huo.Naiona hatari ya kuizika Tanganyika kwa miaka mia moja (100) hatari sana,kweli Urais ktk Afrika ni ulevi wa kupindukia,ukiwa Raisi unakuwa kama vile umelewa pombe ambayo haiishi kichwani.MUNGU atunusuru kwa mikataba ya kipumbavu kama hii.
 
Hivi upumbavu wa hivi watanzania tutaachaga lini,mbarawa unawaza kama unakufa kesho uache umeiuza Tanganyika halafu wanaobak watajiju,watanganyika amkeni!!!!!!! Kataeni
 
Miongoni mwa siri zilizofichuliwa leo kuhusu Mkataba wa kuiuzia kampuni ya Waarabu Bandari za Tanzania, imo habari kwamba Bandari zitakazohusika ni zile za Tanganyika Pekee, za Zanzibar hazitahusika.

Ikumbukwe kwamba Bandari ni miongoni mwa mambo ya Muungano, ikiwa kama jambo hili lina faida kwanini tunaitenga Zanzibar. Je, Wazanzibar hawataki faida?

Bali kitu pekee ambacho tumekiona ni kwamba Waziri Aliyesaini Mkataba huu anayeitwa Makame Mbarawa anatokea upande wa Zanzibar kama alivyo Rais Samia Suluhu Hassan.
Bandari za bahari, maziwa yote nchini Tanganyika
 
Back
Top Bottom