Mkataba wa kuendesha Bandari za Tanzania wa DP WORLD ya Dubai hautazihusu Bandari za Zanzibar
Usije kataa kuwa comment yako ina ukabila au udini kwa sababu nashangaa sana sana kuwa unapiga kelele juu ya bandari ya Dar kupewa waarabu (kama mnavyowaita) lakini hukupiga kelele wiki tatu zilizopita wafaransa walipopewa bandari ya zanzibar. Kama ulivyesema wewe mwenyewe bandari ni sehemu ya muungano sasa kwa nini wewe kama mtanzania huku uliza lolote? I bet hata hadi unasoma comment yangu hukujua kabisa kama bandari ya zanzibar wamepewa wafaransa, come on be honest!
Umelenga kusema nini ?
 
Mzanzibari anakuwa raisi wa Tanganyika, anawaongoza watanganyika kwenye mambo ambayo hata siyo ya Muungano!. Ila kule Zenji Mtanganyika hawezi kugusa mambo ya wazenji.

Huu muungano ni jinamizi kwa Watanganyika!
kamlaumuni baba wenu wa taifa.
 
Acheni ZANZIPHOBIA hiyo. Kisa ni mzanzibari kuwa rais wa Jamuhuri. Kwanini mnawafurahia wazanzibari wakati mnayoihitaji ya kwenu tu? Mlipotaka kuunyanisha vyama wazanzibari walikuwa waungwana na wanaofaa. Mlipotaka kuunyanisha nchi mbili wazanzibari walikuwa waungwana kwenu. Mlipotaka kuondoa passport wazanzibari walikuwa waungwana kwenu. Leo mzanzibari kawa mkuu wa nchi mnaona hastahiki. Kama mmeshakuwa kweli wazalendo wa tanganyika yenu...the way is simple...UNION REFERENDUM...Kama hilo ni gumu kwenu, please let things go.
 
Kuna maamuzi yanapelekea tumkumbuke JPM... ni pamoja na jambo hili ambalo serikali ya ccm inataka kulifanya.....

Unawezaje kubinafsisha bandari?...[emoji848][emoji848]
 
Kuna upotoshaji mkubwa unafanywa na baadhi ya watu ili kuwaaminisha watanzania wanaohoji kuhusu mkataba wa bandari kuwa eti wanamsakama Mbarawa kwa sababu ni mzanzibar.

Wazanzibar na wa bara hawajawahi kuwa na tatizo hata siku kabla ya muungano na hata baada ya muungano ni vizuri wachambuzi wote tujikite kwenye vipengele vya mkataba na tusikubali kutolewa kwenye reli na kuingizwa kwenye mijadala ambayo haina kipimo.

Maswali muhimu

1. Mkataba utachukua muda gani
2. DP- World anakuja kuweza shilingi ngapi
3. Bunge linakwendaje kupitisha azimio ambalo tayari mkataba umeshasainiwa
4. DP- World wanapewa bandari yote au magati yaliyokuwa na TICTS.
5. Hatma ya wafanyakazi wa TPA itakuwaje

na maswali mengine yanayoulizwa ya kisheria.... tujikite kuyajibu hayo kuliko kuhamisha ajenda na mambo ya uzanzibar.
 
Kuna upotoshaji mkubwa unafanywa na baadhi ya watu ili kuwaaminisha watanzania wanaohoji kuhusu mkataba wa bandari kuwa eti wanamsakama Mbarawa kwa sababu ni mzanzibar.

Wazanzibar na wa bara hawajawahi kuwa na tatizo hata siku kabla ya muungano na hata baada ya muungano ni vizuri wachambuzi wote tujikite kwenye vipengele vya mkataba na tusikubali kutolewa kwenye reli na kuingizwa kwenye mijadala ambayo haina kipimo.

Maswali muhimu

1. Mkataba utachukua muda gani
2. DP- World anakuja kuweza shilingi ngapi
3. Bunge linakwendaje kupitisha azimio ambalo tayari mkataba umeshasainiwa
4. DP- World wanapewa bandari yote au magati yaliyokuwa na TICTS.
5. Hatma ya wafanyakazi wa TPA itakuwaje

na maswali mengine yanayoulizwa ya kisheria.... tujikite kuyajibu hayo kuliko kuhamisha ajenda na mambo ya uzanzibar.
Haifai kupuuzwa kwa Kuwa katika hili Zanzibar yenyewe haikuguswa,Hivyo tunaachaje kuugusa Uzanzibari,kwani wao hawataki manufaa yanayohubiriwa,🤔
 
Kuna upotoshaji mkubwa unafanywa na baadhi ya watu ili kuwaaminisha watanzania wanaohoji kuhusu mkataba wa bandari kuwa eti wanamsakama Mbarawa kwa sababu ni mzanzibar.

Wazanzibar na wa bara hawajawahi kuwa na tatizo hata siku kabla ya muungano na hata baada ya muungano ni vizuri wachambuzi wote tujikite kwenye vipengele vya mkataba na tusikubali kutolewa kwenye reli na kuingizwa kwenye mijadala ambayo haina kipimo.

Maswali muhimu

1. Mkataba utachukua muda gani
2. DP- World anakuja kuweza shilingi ngapi
3. Bunge linakwendaje kupitisha azimio ambalo tayari mkataba umeshasainiwa
4. DP- World wanapewa bandari yote au magati yaliyokuwa na TICTS.
5. Hatma ya wafanyakazi wa TPA itakuwaje

na maswali mengine yanayoulizwa ya kisheria.... tujikite kuyajibu hayo kuliko kuhamisha ajenda na mambo ya uzanzibar.
Kama Zanzibar ifanyavyo kutetea maslahi yake acheni na Tanganyika itetee maslahi yake

Hakuna kuuza bandari hapa
 
Haifai kupuuzwa kwa Kuwa katika hili Zanzibar yenyewe haikuguswa,Hivyo tunaachaje kuugusa Uzanzibari,kwani wao hawataki manufaa yanayohubiriwa,🤔
Kama mkataba huo una manufaa so ingekuwa vema na bandari ya Zanzibar iwemo?mashaka lazima yawepo maana wanauza bandari ya bars ya Zanzibar kwao hawauzi
 
Haifai kupuuzwa kwa Kuwa katika hili Zanzibar yenyewe haikuguswa,Hivyo tunaachaje kuugusa Uzanzibari,kwani wao hawataki manufaa yanayohubiriwa,[emoji848]
Bila kuwakosea heshima, Wazanzibari siku zote huwa hawakubali maliasili zao ziguswe na Wabara, hutoa kauli za kibaguzi na kizalendo dhidi ya viashirio vyovyote wanavyohisi kugusa maslahi yao [rejea masuala la mafuta na geni ambayo awali yalikuwa ya Muungano lkn baada ya Zanzibar kugundua viashiria vya mafuta/gesi huko kwao.]

Sasa mnashangaa nini Watanganyika nao kuanza kuwa na kauli kama hizo?

Vv
 
Eti
1. Hata wasipolipa mishahara ya wafanyakazi wao serikali hairuhusiwi kuhoji.
2. Mzigo wako ukopotelea bandarini hakuna kuhoji
3. Zikija siraha kupitia hapo serikali isihoji

Kwa kifupi Kurasini yote ni mali ya Dubai. Ardhi na vyote bandarini ni mali yao . Hakuna kuwahoji.

Duuu! Tumelogwa
 
Kuna upotoshaji mkubwa unafanywa na baadhi ya watu ili kuwaaminisha watanzania wanaohoji kuhusu mkataba wa bandari kuwa eti wanamsakama Mbarawa kwa sababu ni mzanzibar.

Wazanzibar na wa bara hawajawahi kuwa na tatizo hata siku kabla ya muungano na hata baada ya muungano ni vizuri wachambuzi wote tujikite kwenye vipengele vya mkataba na tusikubali kutolewa kwenye reli na kuingizwa kwenye mijadala ambayo haina kipimo.

Maswali muhimu

1. Mkataba utachukua muda gani
2. DP- World anakuja kuweza shilingi ngapi
3. Bunge linakwendaje kupitisha azimio ambalo tayari mkataba umeshasainiwa
4. DP- World wanapewa bandari yote au magati yaliyokuwa na TICTS.
5. Hatma ya wafanyakazi wa TPA itakuwaje

na maswali mengine yanayoulizwa ya kisheria.... tujikite kuyajibu hayo kuliko kuhamisha ajenda na mambo ya uzanzibar.
Uzanzibar ndiyo chanzo cha haya yote lazima ujadiliwe.
Samia ni descendant wa waarabu. yeye kwa damu yake anajua ni Mwarabu, babu zake walikuja kutafuta, (kama wewe na mimi tunavyotafuta Dar es salaamna mikoa mimgine)LAKINI KWAO NI UARABUNI, hivyo bado mapenzi makubwa kwake ni Uarabuni na si Tanganyika wala Zanzibar per se!. Hivyo likitokea lolote la kurejea kwao yuko tayari kutosa zanzibar na tanganyika. KAMA ILIVYOTOKEA SASA
 
Back
Top Bottom