fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Kiukweli sijaelewa kabsa au umeamua kujitoa ufahamu tu...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu yako upo sawa, ni kweli dunia imefikia point hatari sana kwa wanaofikiri....ila claim ya kutokuzaa ni impractical!Kwa yanaendelea duniani hapa,aisee tusizae watoto wengi au tusizae kabisa.Kama tunaona na tunaumia bas kizazi chetu kitaumia na kuteseka zaidi.Hivi masuala ya mkataba wa bandari tumefikia wapi? Na kupambania watoto wa kiume kutambua thamani ya kuwa mwanaume tumefikia wapi? Ndoa kuogopwa Kwa sababu imegeuka machinjio tumefikia wapi?
NB:sijui labda nimewaza vibaya lakini kiuhalisia hali si shwari,Mungu atutetee![emoji120]
Inahuzunisha sanaHofu yako upo sawa, ni kweli dunia imefikia point hatari sana kwa wanaofikiri....ila claim ya kutokuzaa ni impractical!
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
So badKiukweli hali si shwari kabisa
Inaumiza sana mkuu 😔Zaa tutawabinafsisha
Babu zetu walibinafsishwa na viongozi wa jadi kushiriki Ana na watesi amabazo Leo wame rudi kama wawekezaji.Inaumiza sana mkuu 😔
Ona sasa umesababisha nimeunganishiwa Uzi🤒😏Kiukweli sijaelewa kabsa au umeamua kujitoa ufahamu tu...?
😁😄😁Mimi tena..?tatzo mmewaandama na hyo bandari hii nchi ishauzwa tulieni tu raia wenyewe ni waoga waoga acheni watuendesheOna sasa umesababisha nimeunganishiwa Uzi🤒😏
Ndiyo wewe,kama ulivyoniandama🙄😁😄😁Mimi tena..?tatzo mmewaandama na hyo bandari hii nchi ishauzwa tulieni tu raia wenyewe ni waoga waoga acheni watuendeshe
😁😁Nakuandama sabb ulisema unakuja piiemu kunithibtshia halafu hujaja ko bado imani yngu ipo palepaleNdiyo wewe,kama ulivyoniandama🙄
bunge limeshapitisha, huo mgogoro uko wapi?Hili jambo litaleta mgogoro
IngekuA tuko serious tungeandamana ila hili taifa raia wana nyeg€ sanabunge limeshapitisha, huo mgogoro uko wapi?
Habari za Makandanabunge limeshapitisha, huo mgogoro uko wapi?