Mkataba wa kuendesha Bandari za Tanzania wa DP WORLD ya Dubai hautazihusu Bandari za Zanzibar
Haifai kupuuzwa kwa Kuwa katika hili Zanzibar yenyewe haikuguswa,Hivyo tunaachaje kuugusa Uzanzibari,kwani wao hawataki manufaa yanayohubiriwa,🤔
Wazanzibari huifanya Tanganyika shamba la bibi

Sehemu ya kuchuma, kufanyia majaribio mambo kadha wa kadha, nakadhalika
 
Wazanzibari huifanya Tanganyika shamba la bibi

Sehemu ya kuchuma, kufanyia majaribio mambo kadha wa kadha, nakadhalika
Ama tuseme ni kigezo cha kukamilisha Uzanzibari na Utanganyika iliyoundwa ili kufanikisha azima ya siku nyingi 🤔
 
Mzanzibari anakuwa raisi wa Tanganyika, anawaongoza watanganyika kwenye mambo ambayo hata siyo ya Muungano!. Ila kule Zenji Mtanganyika hawezi kugusa mambo ya wazenji.

Huu muungano ni jinamizi kwa Watanganyika!
Tuna muungano wa hovyo na hauna mfano wowote hapa duniani!
 
Mi nadhani shida sio nani kupewa kuendesha ila ni aina ya makubaliano katika mambo yanayotunyima uwezo wa kujinasua au kutetea maslahi mapana ya nchi.
Muhimu mapato yanayotokana na Bandari yaongezeke !!
 
Umelenga kusema nini ?
Sikulenga kitu nimeweka bayana kuwa wewe ni mbaguzi na mdini na mko wengi tu. Hamkupiga kelele bandari ya zanzibar walivyopewa wafarnsa lakini mnaanaza kutaja asili za mawaziri na raisi kana kwamba wao sio watanzania na hawana madaraka ya kufanya maamuzi yanahusu Tanzania. Dont get me wrong issue yote ya bandari inanuka uvunda lakini tatizo langu juu yako ni kuanza kulet mambo ya ukabila na udini. tuko mwaka 2023 na Tanzania bado kuna watu kama wewe ambao hamuoni watanzania wenzenu kama ni watanzania bila kujadili imani zao au wana asili ya pande gani wa tanzania.
 
Kuna maamuzi yanapelekea tumkumbuke JPM... ni pamoja na jambo hili ambalo serikali ya ccm inataka kulifanya.....

Unawezaje kubinafsisha bandari?...[emoji848][emoji848]
Tatamkumbuka sana jpm hata alivio mfukuza CAG baada ya kubaini wizi kwenye serikali yake wa sh tirioni 1,5
 
Sikulenga kitu nimeweka bayana kuwa wewe ni mbaguzi na mdini na mko wengi tu. Hamkupiga kelele bandari ya zanzibar walivyopewa wafarnsa lakini mnaanaza kutaja asili za mawaziri na raisi kana kwamba wao sio watanzania na hawana madaraka ya kufanya maamuzi yanahusu Tanzania. Dont get me wrong issue yote ya bandari inanuka uvunda lakini tatizo langu juu yako ni kuanza kulet mambo ya ukabila na udini. tuko mwaka 2023 na Tanzania bado kuna watu kama wewe ambao hamuoni watanzania wenzenu kama ni watanzania bila kujadili imani zao au wana asili ya pande gani wa tanzania.
Wao waarabu wa Dubai hawakuwaona ?
 
Tanganyika si mko kwapani kwa Zanzibar! Ngoja tuuzwe tuu labda Tanganyika tutaamka
 
Mapato yatakayotokana na bandari za Tanganyika ni ya muungano na Zanzibar inapata mgao wake achilia mbali mgao wa 4.5% BoT kwa pato linalotokana na rasilimali za Bara.

Sasa hivi Zanzibar wanampango wa kulipa wajumbe wa nyumba kumi mishahara. Tayari wazee wanalipwa pensheni na waliobaki wanatumia umeme bure. Hapo hawajui gharama za ulinzi , mambo ya ndani na nje au taasisi zingine za muungano.

Huyu Mbarawa anakuwaje waziri wa jambo lisilo la muungano? Sasa Rais wa JMT ni Mzanzibar, Rais wa SMZ ni Mzanzibar na Waziri ni Mzanzibar. Nani anamtetea Mtanganyika kwa usawa huo.

Uuzwaji wa bandari hauna uchungu isipokuwa kwa Watanganyika.
Nyerere, Mkapa, Kikwete , JPM walijua hilo hawakuwahi kufikiria. Walijua ni rasilimali na hazina za Watanganyika
Mwinyi aliuza Loliondo ''ujombani'' akiwa na Waziri Diria. Historia bwana!



JokaKuu Pascal Mayalla
Umetukumbusha LOLIONDO; ni nani anayejua kiasi cha faida ilichowahi kuliingizia taifa hili miaka yote hiyo?

Hiyo pesa ipo wapi, au ilkwishatumika kwa miradi ipi au shughuli zipi zilizosaidia kuiendeleza Tanzania? Au ndiyo ile pesa iliyowajengea wamasai nyumba kule Handeni ili wapishe eneo jingine linalowaniwa?

Hiyo Loliondo bado ni "nchi ya nje" iliyomo ndani ya nchi ya Tanzania, hadi lini?
 
Nipo hapa naiangalia bandaer kwa kweli sion kitu.ka winch kamoja tu naona na meli ya magari. Hii si sawa ilipaswa sa ivi mawinch yawe yanafukuzana tu hili fuuu lilee fiii yan ni kupishana tu. Mwekezaj njoo tumechelewa sana.
Hawa wanaopiga makelele hawajui.utam wa ngoma ingia ucheze,wanafikiri kuendesha bandaer ni kama kufungua togwa na kupuliza mapovu, ni kazi. Dunia yote kwa sasa wanatolea macho madola ya middle east .kuna pesa kule sio masihara.
Hapa kuanzia mwez wa nane mahotel yatajaa hapa.
Utalii utakua vibaya mno
 
Back
Top Bottom