Ha ha haaaaa. Ramani ya TZ itakuwa na vijimapengo kwa sasa
 
Lengo la Tundu Lissu ni kwenda kinyume na faida ya ROYAL TOUR...

TL anawatumikia akina nani wa huko nje?!!!
 
Tundu Lissu anako pa kukimbilia...

Lema anako pa kukimbilia....

Mdude je ?!!

Wewe je?!!
 
Anataka kuingia bila kibali kwenye nchi ya "Republic of Umanga" inamaana hajui kwamba lile eneo limeuzwa kwa Wajomba wa mtu!
Mheshimiwa Tundu Ole Lissu akanywe kuchokoza nchi jirani!
 
Ohooo...!
 
Hiyo Mh kwake inasimamia Mhuni na si Mheshimiwa
 
Yaani wameziba barabara wajingi sana hawa
 
Wajingi tunhao na wapimbivu
 
Hata mimi pia nimeshanga Lissu inaingia nchi ya watu bila visa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…