For real[emoji849][emoji849][emoji849]
Hivi huu mda wa kufungua manyuzi kumi kumi mtu anaupata wapi?
Kibaya zaidi ukute ni mwanaume[emoji849][emoji849][emoji848][emoji848]
Flabagasting!
Kumbuka hakuna aliyetaka kula mwenyewe au kubagua chakula(mboga) ila Mimi sizani uyo kijana kula uku kubonyeza simu yake kunamuathiri mtu yyte kwa njia yoyote ile mbali na kumuathiri yeye(kama kutokushiba) ivyo sioni tatzo zaidi ya Sheria za ajabu za mtoa mada.Kila familia na utaratibu wake na utaratibu huo hupangwa na baba pamoja na mama kwahiyo watoto ni jukumu lao kufata utaratibu,,,
Pia wewe kama ni ndugu ukifika sehemu kuna utaratibu flani basi ufate huo utaratibu ikiwa ni sio uvunjifu wa sheria pamoja na haki,, ukiona utaratibu wa nyumba flani unakushinda unaweza kuondoka.
Kwahiyo mtoa mada yupo sahihi sabab n utaratibu wa nyumbn kwake wewe unaeona ni dikteta ni mtazamo wako.
Pia wengine wanalelewa kwa utaratibu wa hovyo sana anataka ale peke ake kila mda na anachagua vyakula kama mboga nk bila sababu,, kwahiyo wengine wanakula kinachopatikana na sio wanachokitaka kwahiyo fata utaratibu wa kila sehemu unapofika kama utaratibu umekushinda ondoka mara moja sio kulalamika bila sababu.
Bdo Ni ungese kuwawekea watu Sheria zinazoingilia masuala binafsi Kama kubonyeza simu🚮🚮Inaonesha umekulia katika familia za kihuni tu
Ana vunja Amani ya uyo kijana kumchukia kisa kubonyeza simu muda wa kulaUtaratibu w afamilia yako hapaswi mtu yoyote kuingilia na kama unauhakika utaratibu wa nyumva yako unakusaidia usiruhusu watu kuingilia kati...kama wanasema tofauti na itikadi zako wasikilize na uendelee na mambo yako kikubwa huvunji amani ya mtu wala sheria za nchi
Kuna kitu kinaitwa table mannersAna vunja Amani ya uyo kijana kumchukia kisa kubonyeza simu muda wa kula
Ukitaka cha uvunguni..... kila familia ina sheria zake. Kama hupendi unaanzisha yako. Kwangu huingii baada ya saa 2 usiku bila idhini yangu. Kama huwezi hamaAna vunja Amani ya uyo kijana kumchukia kisa kubonyeza simu muda wa kula
Wanama Bado ni kichelemaKuna kitu kinaitwa table manners
Ova
Kuna kinaitwa Habit..aidha alipotokea wamezoea Uhuru wa kula.Kuna kitu kinaitwa table manners
Ova
Kama unaona naviolate Sheria zako nifukuze sio kuja kunisimanga simanga huo ukikeUkitaka cha uvunguni..... kila familia ina sheria zake. Kama hupendi unaanzisha yako. Kwangu huingii baada ya saa 2 usiku bila idhini yangu. Kama huwezi hama
Kijana wangu yupo ndani kila mtu anajilia kivyake,sa sita sawa sa kumi usiku sawa usile sawa kesho haya mradi liende tu.simshikii mtu fimbo akiumwa njaa atakula tu.Duuh kuna muda hutojisikia jamen kula muda huo
Sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio faza house kasema sasa, wahisha kongoro mess hapo ukale nae[emoji28]
Kula ibadaNdio faza house kasema sasa, wahisha kongoro mess hapo ukale nae😅
Na sie wengine tumekua hivyo kila mtu anakula muda anaotaka yeye chakula kinapikwa kinawekwa hapo labda kama kuna mgeni atakaribishwa 😂😂Kijana wangu yupo ndani kila mtu anajilia kivyake,sa sita sawa sa kumi usiku sawa usile sawa kesho haya mradi liende tu.simshikii mtu fimbo akiumwa njaa atakula tu.