Mtoto wa shangazi ana kiburi kwenye kufata sheria zangu nyumbani kwangu, nitatue vipi?

Mtoto wa shangazi ana kiburi kwenye kufata sheria zangu nyumbani kwangu, nitatue vipi?

For real[emoji849][emoji849][emoji849]

Hivi huu mda wa kufungua manyuzi kumi kumi mtu anaupata wapi?

Kibaya zaidi ukute ni mwanaume[emoji849][emoji849][emoji848][emoji848]

Flabagasting!

Tutajuaje kama nyumbani kwake wanakula kwa kuzunguka meza...!!
 
Kila familia na utaratibu wake na utaratibu huo hupangwa na baba pamoja na mama kwahiyo watoto ni jukumu lao kufata utaratibu,,,
Pia wewe kama ni ndugu ukifika sehemu kuna utaratibu flani basi ufate huo utaratibu ikiwa ni sio uvunjifu wa sheria pamoja na haki,, ukiona utaratibu wa nyumba flani unakushinda unaweza kuondoka.
Kwahiyo mtoa mada yupo sahihi sabab n utaratibu wa nyumbn kwake wewe unaeona ni dikteta ni mtazamo wako.
Pia wengine wanalelewa kwa utaratibu wa hovyo sana anataka ale peke ake kila mda na anachagua vyakula kama mboga nk bila sababu,, kwahiyo wengine wanakula kinachopatikana na sio wanachokitaka kwahiyo fata utaratibu wa kila sehemu unapofika kama utaratibu umekushinda ondoka mara moja sio kulalamika bila sababu.
Kumbuka hakuna aliyetaka kula mwenyewe au kubagua chakula(mboga) ila Mimi sizani uyo kijana kula uku kubonyeza simu yake kunamuathiri mtu yyte kwa njia yoyote ile mbali na kumuathiri yeye(kama kutokushiba) ivyo sioni tatzo zaidi ya Sheria za ajabu za mtoa mada.
NB:siwezi muwekea mtu Sheria ya kutokucheka kwasababu tu Mimi sipendi kucheka sababu anakaa kwangu ikiwa hainidhuru kwa chochote kile.
 
Utaratibu w afamilia yako hapaswi mtu yoyote kuingilia na kama unauhakika utaratibu wa nyumva yako unakusaidia usiruhusu watu kuingilia kati...kama wanasema tofauti na itikadi zako wasikilize na uendelee na mambo yako kikubwa huvunji amani ya mtu wala sheria za nchi
Ana vunja Amani ya uyo kijana kumchukia kisa kubonyeza simu muda wa kula
 
Huo ndiyo utaratibu

Kuna familia zingine ukizitembelea wanafanya sana hiyo

Siyo wenzangu na miye wakati wa kula kuna anayelia chakula chumbani mwingine analia chooni,mwingine analia varandani

Ova
 
Ana vunja Amani ya uyo kijana kumchukia kisa kubonyeza simu muda wa kula
Ukitaka cha uvunguni..... kila familia ina sheria zake. Kama hupendi unaanzisha yako. Kwangu huingii baada ya saa 2 usiku bila idhini yangu. Kama huwezi hama
 
Ukitaka cha uvunguni..... kila familia ina sheria zake. Kama hupendi unaanzisha yako. Kwangu huingii baada ya saa 2 usiku bila idhini yangu. Kama huwezi hama
Kama unaona naviolate Sheria zako nifukuze sio kuja kunisimanga simanga huo ukike
 
Kula pamoja

Muda maalum wa kuangalia TV

Muda maalum wa watoto kujisomea

Ova
 
Kijana wangu yupo ndani kila mtu anajilia kivyake,sa sita sawa sa kumi usiku sawa usile sawa kesho haya mradi liende tu.simshikii mtu fimbo akiumwa njaa atakula tu.
Na sie wengine tumekua hivyo kila mtu anakula muda anaotaka yeye chakula kinapikwa kinawekwa hapo labda kama kuna mgeni atakaribishwa 😂😂
 
Back
Top Bottom