Mwanaume unakuwaje masikini wakati Mimi mtoto mdogo Nina pesa

Tafuta hela masikini wewe
 
Tafuta hela masikini wewe
 
unadhani kila mtu anafuga mijoka kama wewe plus kukatwa mavidole mguuni nyaaambaaaaffffffff , huna moral authority ya kutukana watu wewe kima wenzio wana hustle kweli sio kutemewa hela na majoka Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Tafuta hela masikini wewe
 
Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi

Itakuwa mgonjwa wa akili wewe. Toka lini mwenye hela anatafuta huruma mitandaoni? Hela inajipigia debe sio kupigiwa debe
 
Kuja kujibizana na msikini basi nawe ni masikini.

Matajiri hawana muda huo. Anyway hivi ni kweli yule mtoto wa Dom umemtanguliza ili majani yaongezeke ili uje kutukebehi?.
 
Kuja kujibizana na msikini basi nawe ni masikini.

Matajiri hawana muda huo. Anyway hivi ni kweli yule mtoto wa Dom umemtanguliza ili majani yaongezeke ili uje kutukebehi?.
Tafuta hela masikini wewe
 
Tatizo wanaume wengine hatuwezi kulisha nyoka. Hivyo hatuna budi kusubiria wakati wa Mungu. Wewe mshukuru Mungu kwa vile inawezekana wakati wako umewahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…