na nukuu katika bibilia,[isaya 50;11,tazama ninyi nyote mwashao moto,mjifungiao hiyo mienge;enendeni ninyi katika mwali wa moto wenu,na katikakati ya mienge mliyoiwasha,mtayapata haya kwa mkono wangu;mtalala kwa huzini,]mwisho wa kunukuu,swali langu kwa serikali ya ccm,kwanini wanaukimbiza mwenge na kutuletea watanzania laana,tafsiri ya neno kulala kwa uzuni,ni [a]umaskinimagonjwa[c]ulala hoi] kwa kutokujua au kwa kujua ccm imetuletea haya na mwenge wao,ndio maana hata fedha yetu haina thamani,inazidi kushuka samani,ushauri wangu kwa serikali ya ccm,warudi kwa mungu na kitubu,kisha waache kuukimbiza mwenge wao katika nchi,mungu atali bariki taifa hili,karibuni wana jf kwa michango yenu,na wasilisha,