Ndugu zangu wana JF, Leo hali hewa imechafuka kwa muda bungeni ktk kipindi cha asubuhi wakati wa maswali na majibu mara baada ya Mbunge wa Nkansi, Mh. Kessy kuuliza swali la nyongeza kwa serikali kwamba "hawaon kwamba MWENGE WA UHURU HAUNA FAIDA TENA KWA WATANZANIA ZAIDI YA KUIBEBESHA GHARAMA SERIKALI NA ZAID ZAID KUSIMAMISHA SHUGHULI MUHIMU ZA SERIKALI WAKATI UKIPITISHWA MAENEO KADHAA YA NCHI? Waziri akasimama akajiumauma kujibu na baadae WAZIRI MKUCHIKA akasimama kuongeza majibu lakin mwisho wake MKUCHIKA na MAKALA kaambulia ZOMEA ZOMEA tuu toka kwa wabunge.
Source:TBC Kipindi cha bunge.