PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Tambiko la Serikali.
ndio maana nasema wanajua maana ya huo mwenge wao unaotuletea laana na sisi tutamwomba mungu waondoke nao na ujue kwamba mungu amekasirika ndio maana chama kina nuka mbele ya watanzania,tena wasifikirie chadema ndio mbaya wao,wanajisumbua mungu amesha wakataa,wasubiri,2015,ndio watajua,chama kinapoteza mvuto kila kukicha,watanzania wana mlilia mungu kwa nini sisi ni maskini,miaka 51 ya uhuru bado cc maskini wakutupa,na mungu anashusha bakora yake na kuwaponya watanzania,