Muulizeni wakati anaziweka alikuwa hajui kuwa zingetuumiza ( zingewaumiza ) Watanzania hadi Kutudharau na Kutudhihaki kwa kututaka kama tunaona Tanzania ni mbaya tukaishi ( tuhamie ) nchini Burundi?

Na hivi Mama jana kapanda Dala Dala la London huku akiwahi Dirishani na upepo kumtandika vilivyo Hasira zake zote akirejea anazimalizia Kwake kwa Kumtumbua hivyo aanze kujiandaa Kisaikolojia kwa hilo.

PhD imetua kwa Mtu wa hovyo mno.
 
Mama Samia kama unasikiliza tunaokutakia mema, hebu muondowe huyo muhuni Savimbi hapo treasure muweke Dr Kimei arekebishe mambo yakae sawa.

Haiwezekani mambo yanaharibika na Mtaalam wa fedha yupo back bench mnaendekeza makundi yenu tu na kuacha Mtaalam kama Dr Kimei kutokutumika, wengi tunaujuwa uwezo wa Dr Kimei na wengi tulidhani ndio angeteuliwa kuwa Gavana wa BOT badala ya Luoga.

Au marehemu kakurithisha bifu lake na wachaga?
 
Wafutee zoteee sio kujidai ametusaidia kumbee upuuzi tu anafanyaa..
 
Bado kabisa hoja yetu ni kwamba wafanyakazi tunapolipwa mishahara kupitia benki tayari tunakuwa tumelipa kodi.

Kwanini tulipishwe tena tozo, kusema umesamehe tozo kiwango kuanzia elfu 30 kushuka chini hii ni danganya toto hakuna mtu ataenda benki kutoa kiasi cha elfu 30. usitufanye sisi hatuna akili.
 
Kipengele cha kubana matumizi kimekaa vizuri..ila kuna maeneo hajayagusia kama kununua magari ya serikali ya bei nafuu na kupunguza posho za viongozi, mf. Wabunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…