Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wangapi wanalipa Kodi. Tozo ndio suluhu Kwa wakwepa Kodi. Ni sawa na Simba kumvizia nyumbu kwenye bwawa la maji. Nchi zingine watu hujisikia fahari kulipa Kodi. Tofauti na watu wa ufipa. Wafanyakazi wanakatwa Kodi lakini utakuta jitu kubwa Zima Lina mihela na majumba Kila mtaa lakini tin number halina
Nchi nyingine wanaona fahari kulipa kodi maana zinatumika vizuri. Hapa unalipa kodi ili viongozi na watumishi waishi maisha ya kifahari.