Mwigulu: Tumesikia malalamiko ya Watanzania kuhusu tozo za miamala na Rais ametoa maelekezo ya kuzitazama upya
Mhe. Rais naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba...
I said it
 
Mhe. Rais naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba...
sasa rais kwanini alisaini? huwa anasaini bila kusoma?

ccm ni failed political party
 
Yaani Lameck Madelu(Mwigulu) ndio Mchumi Daraja la kwanza halafu anafanya mambo bila kufanya utafiti wa kina , kitendo walichofanya kuongeza gharama(tozo) kimeshusha transactions kwa kiwango kikubwa sana na hata wakirudisha kama mwanzo bado ile effect yake itaendelea kwa muda!! Wenzetu kabla hawajaingiza kitu live huwa wanafanya tafiti za kina na pilots kwanza za kutosha.
Sisi tunaamini utafiti na pilots zinapoteza muda na kutuchelewesha.
Mambo yatajipa tu.

Amandla....
 
Na bado! Tumsaidie Mama kuondoa uozo wote:


Nchi ni yetu waliyo nayo ni dhamana tu.
Tumsaidiaje ikiwa alisaini mwenyewe?
 
Yaani Lameck Madelu(Mwigulu) ndio Mchumi Daraja la kwanza halafu anafanya mambo bila kufanya utafiti wa kina , kitendo walichofanya kuongeza gharama(tozo) kimeshusha transactions kwa kiwango kikubwa sana na hata wakirudisha kama mwanzo bado ile effect yake itaendelea kwa muda!! Wenzetu kabla hawajaingiza kitu live huwa wanafanya tafiti za kina na pilots kwanza za kutosha.
Walifikiri kwa kiwango cha chini sana, hii tozo ya miamiala inaonesha ni namna gani wanatafuta kodi hata ambazo si rafiki kwa mlipaji.

Hii leo nimetimiza siku 6 bila kutuma pesa kwa njia ya simu.
 
Watu wengi hasa watanzania hawajui tofauti ya Economics and Finance. Uchumi sio finance, profesion ya Finance hajulikani vzr hivyo watu hupelekea kuwapa wizara ya fedha watu wa uchumi ambao hawana utaalamu kabisa kwenye mambo ya finance...
True ila hoja inakuja je hawana hao watu chini yao kuwashauri?

Au ndio Yale Yale ya kutosikiliza ushauri?

Kama hawana watu wa finance chini yao basi hatuna serikali
 
Tumsaidie Mama kuisafisha hii nchi. Inawezekana kuwa hahusiki na fyongo nyingi za hawa jamaa:

View attachment 1859377


NB: It's not done until it's done!
Bado swali langu ni imekuwaje alisaini huo muswada?
 
Tumsaidie Mama kuisafisha hii nchi. Inawezekana kuwa hahusiki na fyongo nyingi za hawa jamaa:

View attachment 1859377


NB: It's not done until it's done!
Wewe ni mpumbavu😂😂😂
 
Mhe. Rais naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba...
Kikao cha Waziri Mkuu hakitasaidia kitu. Suala hili ni la wataalam na sio wanasiasa. Na wataalam hao wasiwe wanasiasa.

Anandla...
 
Mhe. Rais naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba....
 
Kumbe Wananchi wanauelewa Mpana wa Masuala ya KODI kuliko Mawaziri Wananchi ndio Wamegundua kuwa KODI hii MBAYA
Nilisema CCM wanatengeneza Tatizo

 
Tatizo sio TOZO wizara na BOT jaribu kuwaondoa WATU WA KATI katika miamala wanaochukua PERCENT ndio wanaofanya TOZO ziwe kubwa.

Cc mwigulu nchemba
 
Back
Top Bottom