Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Hili ni Tetemeko 56.7 ktk siasa za Tz. No one know what is next. Stay silence
 

😀

Yaani wewe wapenda mizaha aisee.

Eti kabla hajaletewa barua ya karipio kutoka kwa Robert Amsterdam.
 
Kama kweli time hii ni ya Tanzania na ni ya watanzania imwite na yule mgombea anaye waambia wapiga kura wakati akiwa kwenye kampeni,ndipo kuchagua mimi na chama changu mtajuta na sileti maendeleo.
 
Kabisa hakuna kwenda, tukianzeshe wasituone ni watoto wadogo...
 
Kama kavunja sheria na kanuni sidhani kama kuna shida akiitwa
 
Tume hii hii yenye double standards?

NEC hii Ni chombo Cha Serikali ya CCM kwa ajili ya kulinda,kutetea na kupigania CCM iendelee kutawala!!!

Kama NEC Ni wakweli na hawana upendeleo kwa CCM basi wamwite na Rais Magufuli mbele ya hiyo Tume ya Maadili ili naye ajieleze kuhusu yafuatayo:
1. Kwanini wakti huu wa Kampeni anatoa Hongo au Rushwa kwa kuomba Fedha za Barabara, Zahanati na Madaraja toka Hazina?
2. Kwanini amewaita Wakurugenzi wa Halmashauri na Majiji(Wasimamizi wa Uchaguzi)kuongea nao katikati ya Kampeni?
3. Je, Magufuli anataka kuwaambia nini Kama siyo njama za za kuhujumu Uchshuzi?
4. Rais Magufuli haoni hii Ni kuiingilia NEC??Na iwapo ana Jambo la muhimu kwanini asiwatumie NEC kufikisha ujumbe wake?
 
Mmeshindwa majukwaani sasa mmeamua kutumia serikali ,huyu Lisu huyu ni hatari sana
 
Polepole kawaita wapinzani misukule na yeye ataitwa?
 
Kumbe NEC, Police na Serikali wanaweza kuamua kumwachia polepole kazi ya kumdhibiti. Hivi nyie watu hamna hata aibu kwa ushenzi wenu huu!
 
Huna akili wewe.
 
NEC mnachekesha kweli
Mpigieni simu mumuulize kwani lazima aje
Lissu usiende mbona jiwe hajaitwa?
Kampeni zinaendelea

Mnataka aje mumfanye nini?
Kumfungia asiendelee na kampeni, wamepewa maelekezo na aliyewateua wafanye kila joto hasa ya kumzuia Tundu Lissu asiingie Ikulu.
 
Hamna mtaji wa wananchi, bali mamlaka ya dola. Kwa kipindi cha miaka mitano ya Magufuli, kila mtanzania analo jambo baya alilotendwa.
 
Polepole kawaita wapinzani misukule waanze na polepole kwanza hao NECCCM Tumeccm wameanza hujuma zao mapema lazima ICC ianze kuwachunguza kwa nguvu kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…