Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Hili ni Tetemeko 56.7 ktk siasa za Tz. No one know what is next. Stay silence
 
Ukimpiga teke chura unamwongezea mwendo, kitendo Cha Mahera kumwira lissu Ni blessing in disguise,

Nadhani tume ndo inaenda kusomeshwa kanuni upya,

Pia lissu atatumia hii fursa kuwaambia ukweli wa madudu wanayofanya ili kumbeba jiwe, kabla hawajaletewa barua ya karipio rasimi kutoka kwa Robert Amsterdam

😀

Yaani wewe wapenda mizaha aisee.

Eti kabla hajaletewa barua ya karipio kutoka kwa Robert Amsterdam.
 
Kama kweli time hii ni ya Tanzania na ni ya watanzania imwite na yule mgombea anaye waambia wapiga kura wakati akiwa kwenye kampeni,ndipo kuchagua mimi na chama changu mtajuta na sileti maendeleo.
 
TL asiende tukianzishe hapa hapa. Haina haja ya uchaguzi tena. Wamuite Magufuli kwanza - anadhalilisha akina mama, anafokea wapigakura eti hawapati maendeleo wakichagua wapinzani, sasa wanasema eti TL ana uraia wa nchi nchi nyingine! Waache ushenzi Watanzania tuamue kiongozi tunayetaka atuongoze.
Kabisa hakuna kwenda, tukianzeshe wasituone ni watoto wadogo...
 
Kama kavunja sheria na kanuni sidhani kama kuna shida akiitwa
 
Tume hii hii yenye double standards?

NEC hii Ni chombo Cha Serikali ya CCM kwa ajili ya kulinda,kutetea na kupigania CCM iendelee kutawala!!!

Kama NEC Ni wakweli na hawana upendeleo kwa CCM basi wamwite na Rais Magufuli mbele ya hiyo Tume ya Maadili ili naye ajieleze kuhusu yafuatayo:
1. Kwanini wakti huu wa Kampeni anatoa Hongo au Rushwa kwa kuomba Fedha za Barabara, Zahanati na Madaraja toka Hazina?
2. Kwanini amewaita Wakurugenzi wa Halmashauri na Majiji(Wasimamizi wa Uchaguzi)kuongea nao katikati ya Kampeni?
3. Je, Magufuli anataka kuwaambia nini Kama siyo njama za za kuhujumu Uchshuzi?
4. Rais Magufuli haoni hii Ni kuiingilia NEC??Na iwapo ana Jambo la muhimu kwanini asiwatumie NEC kufikisha ujumbe wake?
 
Kwa nyakati hizi kushughulika na Tundu Lisu kiserikali ni kumpa umaarufu asioustahili.

Kwa mfano Tundu Lisu akiitwa polisi leo media zote na wanasheria wote watahamia huko kuripoti habari zake iwe kwa ubaya au uzuri na hizo ndio kiki zenyewe zinazotafutwa.

Tundu Lisu angeachiwa komredi Polepole amdhibiti kisiasa maana ameonyesha kummudu sana.

Maendeleo hayana vyama!
Mmeshindwa majukwaani sasa mmeamua kutumia serikali ,huyu Lisu huyu ni hatari sana
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.

Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.

Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.

Chanzo: TBC Online
Polepole kawaita wapinzani misukule na yeye ataitwa?
 
Kwa nyakati hizi kushughulika na Tundu Lisu kiserikali ni kumpa umaarufu asioustahili.

Kwa mfano Tundu Lisu akiitwa polisi leo media zote na wanasheria wote watahamia huko kuripoti habari zake iwe kwa ubaya au uzuri na hizo ndio kiki zenyewe zinazotafutwa.

Tundu Lisu angeachiwa komredi Polepole amdhibiti kisiasa maana ameonyesha kummudu sana.

Maendeleo hayana vyama!
Kumbe NEC, Police na Serikali wanaweza kuamua kumwachia polepole kazi ya kumdhibiti. Hivi nyie watu hamna hata aibu kwa ushenzi wenu huu!
 
Hoja ni hii tu mmeishikilia huku mkijua ni stori stori
Mjibu anayouliza 1.5tr uwanja wa chato ndege zimenunuliwa kihuni Hazina pesa hakuna kupotea na kuuwawa kwa watu kupigwa risasi
Haya ndiyo yanawahusu walipa kodi
Ushoga ni maisha binafsi hajawahi kusema ataruhusu ushoga
Alisema Katiba izingatiwe
Msipindishe maneno
Huna akili wewe.
 
NEC mnachekesha kweli
Mpigieni simu mumuulize kwani lazima aje
Lissu usiende mbona jiwe hajaitwa?
Kampeni zinaendelea

Mnataka aje mumfanye nini?
Kumfungia asiendelee na kampeni, wamepewa maelekezo na aliyewateua wafanye kila joto hasa ya kumzuia Tundu Lissu asiingie Ikulu.
 
Mtaji wetu sisi ni watanzania wenye sifa za kupiga kura, waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na wenye kadi ya mpiga kura kama ni hao ndio unawaita wajinga basi sawa sisi wajinga tutakipigia kura ya ndio chama cha mapinduzi kwa wingi sana.
Hamna mtaji wa wananchi, bali mamlaka ya dola. Kwa kipindi cha miaka mitano ya Magufuli, kila mtanzania analo jambo baya alilotendwa.
 
NEC hii Ni chombo Cha Serikali ya CCM kwa ajili ya kulinda,kutetea na kupigania CCM iendelee kutawala!!!

Kama NEC Ni wakweoi na hawana upendeleo kwa CCM Basi wamwite na Rais Magufuli mbele ya Tume hiyo Tume ya Maadili ili naye ajiekeze kuhusu yafuatayo:
1. Kwanini wakti huu wa Kampeni anatoa Hongo au Rushwa kwa kuomba Fedha za Barabara, Zahanati na Madaraja toka Hazina?
2. Kwanini amewaita Wakurugenzi wa Halmashauri na Majiji(Wasimamizi wa Uchaguzi)kuongea nao katikati ya Kampeni?
3. Je, Magufuli anataka kuwaambia nini Kama siyo njama za za kuhujumu Uchshuzi?
4. Rais Magufuli haoni hii Ni kuiingilia NEC??Na iwapo ana Jambo la muhimu kwanini asiwatumie NEC kufikisha ujumbe wake?
Polepole kawaita wapinzani misukule waanze na polepole kwanza hao NECCCM Tumeccm wameanza hujuma zao mapema lazima ICC ianze kuwachunguza kwa nguvu kubwa
 
Back
Top Bottom