Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Kama Hamna imani na tume inayosimamia uchaguzi, kuna haja gani ya kushiriki uchaguzi?Why?
Taarifa za ukweli ndio zipi?Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa...
At kesho ataandikwa kwenye magazeti na tv.Kwa hii kasi ya Lissu inahitaji kifua kuivumilia naona CCM wameanza kushika shati baada ya kuzidiwa mbio...
Umeona eeh!Tume hii hii yenye double standards?
Sasa ulitaka wajitowe mpate kupeta kirahisi? Hamtaki Tume huru, tumeamua kumchinja kondoo atavyoelekea . Mwaka huu tutagawana mbao au muondoke tuSasa Kama Hamna Imani na tume inayosimamia uchaguzi,Kuna haja gani ya kushiriki uchaguzi?
Ila jamaa anaropoka aisee hana breki , lolote linalokuja kichwani anaongea tu bila kudigest.
Labda Phd ya kemikali za kuua mbu... Pamoja na phd yake haimsaidii kitu... Hoja yako hii ya KIPUUZI sana mkuu, ficha aibu hata kidogo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Post hii inakutambulisha Kama mtu mwenye Elimu ndogo kabisa. Enzi zile tukiwa chuo,kijana mmoja mtanashati alikamatwaa akiiba,ili kuepuka kichapo alijitete kuwa yeye ni mwanafunzi mwenzetu anaomba tusimzuru,alipoulizwa kozi anayosoma akasema anasoma PCMalielewa nn sasa wakati amesoma HGE? ana diploma ya HGE, mwenzake ana PHD ya chemistry! sasa nan mbuzi apa
Nina pesa kuliko wewe
Mwoga ssna yule hayawahi kutaja jina hata pm au vpAliongelea mgombea individual na kumtaja jina lake? Akamtaja Labda Tundu Lisu kwa jina? Ulishamsikia Magufuli akimtaja Lisu kwa jina lake?
Post hii inakutambulisha Kama mtu mwenye Elimu ndogo kabisa.Enzi zile tukiwa chuo,kijana mmoja mtanashati alikamatwaa akiiba,ili kuepuka kichapo alijitete kuwa yeye ni mwanafunzi mwenzetu anaomba tusimzuru,alipoulizwa kozi anayosoma akasema anasoma PCM
Mwoga ssna yule hayawahi kutaja jina hata pm au vp