Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Mwanamke hata kama ulilala na wanaume wengi na baadae ukaacha hiyo tabia na kuamua kuolewa, unaweza kuwa kwenye ndoa yenye furaha sana tu.

Kuna watu hueneza uzushi kuwa ikiwa mwanamke ataolewa akiwa sio bikira, hataweza kuwa na ndoa yenye furaha. Huo ni uongo kabisa.

Kwa imani ya kikristo, mara tu unapokuja kwa Yesu, dhambi zako za zamani zinafutwa na kusamehewa kabisa - na katika suala la usafi wa kijinsia, Mungu anakuona kama bikira.

Ni hakika, ubikira haufanyi ndoa kufanya kazi. Kinachofanya ndoa ifanye kazi ni kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea.

Ubarikiwe.
 
Hii ni kwasababu ya kitu kinachoitwa 'sexual compatibility' yaani 'utengamano wa kingono'. Maana yake ni jinsi mapendeleo ya kingono ya wanandoa yanavoendana. Yaani anachopenda mke/mume kufanya/kufanyiwa wakati wa tendo la ndoa kinatakiwa kiendane na/kimridhishe mwenzi wake....
sexual compatibility.jpg


Hii imekua sababu kubwa ya wanandoa kuachana kwasababu hawakuchukua muda kufahamiana vizuri kingono kabla ya kuingia kwenye ndoa...

Kwa mujibu huu mwanaume akioa bikra, anapaswa naye awe bikra ili sexual compatibilty yao iwe nzuri ukizingatia kwamba wote watakua hawajawahi kushiriki tendo la ndoa. Hivyo basi watazoeana kirahisi.... Mwanaume asiye bikra kuoa mwanamke bikra kunaweza pelekea ndoa kuharibika kwasababu mwanaume huyo anaweza asivipate vile alivyovipata kabla ya kuoa....

Hivyo basi inashaurika kama wewe tayari ni mzoefu kwenye masuala ya ngono, itabidi ufanye 'kumpima' mwenzi wako kabla ya ndoa ili upate kufahamu kama mtaendana au la, ili kuepusha mafarakano....
 
Hii ni kwasababu ya kitu kinachoitwa 'sexual compatibility' yaani 'utengamano wa kingono'. Maana yake ni jinsi mapendeleo ya kingono ya wanandoa yanavoendana. Yaani anachopenda mke/mume kufanya/kufanyiwa wakati wa tendo la ndoa kinatakiwa kiendane na/kimridhishe mwenzi wake....
View attachment 2602335

Hii imekua sababu kubwa ya wanandoa kuachana kwasababu hawakuchukua muda kufahamiana vizuri kingono kabla ya kuingia kwenye ndoa...

Kwa mujibu huu mwanaume akioa bikra, anapaswa naye awe bikra ili sexual compatibilty yao iwe nzuri ukizingatia kwamba wote watakua hawajawahi kushiriki tendo la ndoa. Hivyo basi watazoeana kirahisi.... Mwanaume asiye bikra kuoa mwanamke bikra kunaweza pelekea ndoa kuharibika kwasababu mwanaume huyo anaweza asivipate vile alivyovipata kabla ya kuoa....

Hivyo basi inashaurika kama wewe tayari ni mzoefu kwenye masuala ya ngono, itabidi ufanye 'kumpima' mwenzi wako kabla ya ndoa ili upate kufahamu kama mtaendana au la, ili kuepusha mafarakano....
Ukweli mtupu
 
Asilimia kubwa ya ndoa, ngono ni deciding factor....
Ni deciding factor Kwa watu wasiowaza mbali.

Niwanaume wachache Sana wanaweza kumuoa mwanamke Kwa sababu kubwa eti ni fundi kitandani.

Au wewe mkuu ukipewa mwanamke mwenye utulivu wa akili na asiejua lolote katika ngono. Na mwingine ambae ni fundi wa ngono asie na utulivu wa akili utaoa yupi?.
 
Hii ni kwasababu ya kitu kinachoitwa 'sexual compatibility' yaani 'utengamano wa kingono'. Maana yake ni jinsi mapendeleo ya kingono ya wanandoa yanavoendana. Yaani anachopenda mke/mume kufanya/kufanyiwa wakati wa tendo la ndoa kinatakiwa kiendane na/kimridhishe mwenzi wake....
View attachment 2602335

Hii imekua sababu kubwa ya wanandoa kuachana kwasababu hawakuchukua muda kufahamiana vizuri kingono kabla ya kuingia kwenye ndoa...

Kwa mujibu huu mwanaume akioa bikra, anapaswa naye awe bikra ili sexual compatibilty yao iwe nzuri ukizingatia kwamba wote watakua hawajawahi kushiriki tendo la ndoa. Hivyo basi watazoeana kirahisi.... Mwanaume asiye bikra kuoa mwanamke bikra kunaweza pelekea ndoa kuharibika kwasababu mwanaume huyo anaweza asivipate vile alivyovipata kabla ya kuoa....

Hivyo basi inashaurika kama wewe tayari ni mzoefu kwenye masuala ya ngono, itabidi ufanye 'kumpima' mwenzi wako kabla ya ndoa ili upate kufahamu kama mtaendana au la, ili kuepusha mafarakano....

[emoji1621][emoji1621]
 
Back
Top Bottom