Ukristo dini ya mchongo
 
Hamna papa wala sangara !!.kitabu Chao kinasema ni dhambi ila yeye anajifanya antetea means kaenda against haw ndo viongozi wa kupiga mpaka kufa kabla hawajabidili kwa matamanio ya nafsi zao.

Fuateni ukristo sio wazungu mtakuja pakuana bure.
Kweli kaka unachosema na wale wa visiwani ungewaambia waufute uislamu sio waarabu maana wadau kupaka hena watoto wa kiume na kula ndogo wanadai sunna!!!
 
Ungekuwa fair katika mjadala huu kama ungelitaja kwa jina Jimbo ambalo mbele ya Mungu unashuhudia kuwa ndugu walihukumiwa kwa kosa la ndugu yao
Huyo Padre kwenye picha aliamua kupinga hizi Clinic halali za abortion! Kuna States wamehalalisha abortion na juhudi kama hizi ni kinyume kisheria. Hivyo huyo Padre amekutwa na hatia maana hizo Clinic ni halali.

Hivyo hivyo ndoa za mashoga zikihalalishwa maana yake popote pale ukisema ni ushetani hao mashoga na mashirika yao wanakupeleka mahakamani! Utahubiri tena dhambi ya ushoga? Sijui nyinyi hata mnaelewa kinachoendelea!

Hata mahojiano yaliyopita na kuleta kelele nyingi alisema Kanisa haliwezi kubadili mafundisho lakini anaunga mkono hizo "civil right". Huoni anajichanganya tu huyu?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Hakupaswa kuonedha kufungamana nao kwa aina yeyote ile, kuwapokea na kuishi nao kwa upendo ni kusapoti kile wanachokifanya kuwa n sahihi
Tunaambiwa kila siku ya kwamba Yesu alikuja duniani kwaajili ya watenda dhambi. Iweje watenda dhambi nyingine muwakaribishe makanisani tunasali nao na kuishi nao vizuri lakini mashoga muwatenge?
Kama kweli mnataka waachane na hiyo dhambi kwanini hamkai nao karibu mkiwaombea na kuwafundisha kuacha dhambi.
Wakristu ni watu wanafiki sana kuwahi kutokea hapa duniani.
 
Kiongozi wa kanisa katoriki papa Francis amekisoa sheria zinazo haramisha Ushoga na kuwataka baadhi ya maaskofu wanao ziunga mkono sheria hizo kuacha Mara moja.
Kwa mujibu wake ana sema ushoga si uharifu, wala mashoga si waharifu bali na wao ni watoto wa Mungu hivyo kuwasakama ni dhambi.
Amesisitiza kuwa mapenzi ya jinsia moja sio kosa wala si dhambi.


 
Huo ni mtazamo wako lakini yeye kaamua KUPASUA JIPU.
Inasikitisha sana hii ni aibu kwa taasisi kubwa kama ROMAN CATHOLIC, huku kwetu viongozi wanalipinga vikali lakini sidhani kama hii nguvu itaendelea kuwepo kama top leader anasapoti. Hili litaleta mpasuko kati ya wanaosapoti na kupinga.
 
Wanapenda makasiriko.
 

Yote uliyoyaongea nayaelewa na kwa akili za kibinadamu ni sawa lakini kwa kuwa tunamuongelea Papa kwa kauli yake bhasi inabidi tumpime kwa matakwa ya Mungu na si matakwa yetu

Papa kasema si haki kwa nchi mfano kuwatolea hukumu ya kifo kitu ambacho kwa agano la kristu kipo sawa kwa sababu msamaha huja kwanza pale mtu atakapoomba toba

Hivyo, ukimuua mtu unamuondolea nafasi ya kutubu

Je, vipi wakisema kwenye amri za Mungu, mtu akivunja hata moja auwawe

Je, ni nani atasimama.. Jibu HAKUNA

Hiyo ndio mantiki ya papa katika msingi wa kuamini kuwa kila binadamu anastahili nafasi ya kuishi na kuomba toba

Kuhusu mantiki zetu za kibinadamu, tupo sawa kwa ubinadamu wetu lakini hatuwezi kulazimisha iwe ni mantiki ya agano jipya unless tulifute ili kurudia sheria za Musa ambapo hata mwanamke mzinzi.. Angehukumiwa kupigwa mawe hadi kufa
 
Mkuu hoja yako kuhusu udhaifu wa watu wenye mapenzi ya jinsi moja ni ajabu kidogo. Katika historia tuna mifano wa wale mashujaa wa Ugiriki wa Kale, ambako mapenzi ya jinsia moja yalikuwa kawaida sana. Hao walipanga vikosi maalum vya jeshi vilivyofanywa na wapenzi wawili-wawili . Jisomee hapa "Sacred Band of Thebes". Hawakuwa wengi (maana washoga si wengi duniani) lakini walikuwa hodari sana. Pende usipende, visa hivi kuhusu udhaifu wao havina msingi...
 
Dini ni utapeli na utumwa kwa waafrika.

Religion is a crowd control..

Hau hitaji kuwa na dini ili kumjua Mungu.

Hawa viongozi wa makanisa na dini ni matapeli.

Mungu habariki watu kupitia Mtu. Haijalishi huyo mtu ni kiongozi au mtakatifu kiasi gani.

Inabidi tuwe na uhusiano mzuri na Mungu na kufanya yale yaliyo mema.

Spirituality is the personal relationship with the Divine.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…