πΌπ‘›π‘›π‘Žπ‘Žπ‘™π‘–π‘™π‘™π‘Žπ‘Žπ’‰ π‘€π‘Ž πΌπ‘›π‘›π‘Žπ‘Žπ‘–π‘™π‘Žπ‘¦π’‰ π‘…π‘Žπ‘Žπ‘—π‘’π‘’π‘›.
 
Tupe msimamo wako Khs ushoga,
Are in or out, usilete habar za neutrality [emoji4]
 
Umeanza vizuri sana ila umekuja kumaliza vibaya, kwenye mtungi kamnyweso hapo umetukosea sana yaaani mimi nilewe niwe sawa na aliyefirwa???
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Brother yategemeana na imani yako kuwa dhambi kubwa ni ipi maana hata kwa msingi wa kawaida. Dhambi kubwa ni ile unayoitenda kwa kuikusudia
 
Mashoga wasibugudhiwe.
 
Hata iweje siwezi kukubaliana na ushoga, yani waruhusu kufungisha ndoa za jinsia moja kwan hiyo ndio namna ya kuitokomeza hiyo dhambi?
Nitajie hizo dhambi nyingne unazosema tunazikaribisha.
 
Kwani Kanisani tunatambuana kwa dhambi zetu? Hata muda wa meza ya Bwana kila mtu anaenda kwa kupima hali yake ya kiroho. Kanisa halijawahi kutenga mashoga ila kama huo ushoga ni bayana kasisi anaweza kukataa kukupa Ekaristi ila sio kukatazwa kupata huduma zingine za wokovu kama kitubio, kusali misa bila kupokea Ekaristi n.k

Haya mambo yakipata hizo "civil right" alafu shoga akajiunga seminari mkimfukuza ni kinyume cha sheria maana hizo seminari zinasajiliwa kisheria pia.

Sisi wote wadhambi tuombe "civil right" ? Wanaojiuza nao wakipata nguvu nao tuwatambue kisheria then shule ikijua mwanachuo anajiuza asiguswe sababu ni halali?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Hata iweje siwezi kukubaliana na ushoga, yani waruhusu kufungisha ndoa za jinsia moja kwan hiyo ndio namna ya kuitokomeza hiyo dhambi?
Nitajie hizo dhambi nyingne unazosema tunazikaribisha.
Ni wapi amesema ndoa za jinsia moja zimeruhusiwa.? Labda imenipita hii nionyeshe tafadhali.

Pia hakuna mahali amekwambia uukubali ushoga, ukatae na uendelee kuukataa lakini mashoga ni binadamu kama binadamu wengine wanaofanya uzinzi na ufiraji ambao wapo humu kwenye huu uzi kuupinga ushoga.
 
Padre akikataa kumpatia shoga ekaristi atakuwa amebagua. Kwasababu padri huyo huyo anampatia mtu ekaristi akifahamu fika huyu ni mzinzi, mlevi au mwizi. Mbona hawabagui hao?

Pia tambua ya kwamba kuna nchi ambazo prostitution imeruhusiwa na wamewekewa sheria kodi wanalipa vzr tu.

Na kama nyie wakristu mnaamini ya kwamba Mungu ndo anatoa hukumu iweje mlete makasoriko kwenye hili? Mnamsaidia Mungu kuhukumu ama vipi?
 
Tayari imesharipotiwa tukio la ndoa ya jinsia moja ndani ya kanisa katoliki mwaka jana 2022. Haya ni matunda ya kuwakumbatia mashoga, hawafukuzwi kanisani lakini hawapaswi kuonesha kuwasapoti hadi kufikia ndoa.
Na kauli kama hizi zinawafanya hao mashoga kuwa na nguvu na kuona ni haki yao kuishi hivyo( ni dhambi kama ulivyosema) dhambi haikumbatiwi inakemewa na kutokomezwa.
 
Fake news![emoji30]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…