Angesema siyo dhambi nisingemuelewa na hii kwangu mwenye imani haiwezi kunitoa kwenye reli kwa sababu hakuna anayejua hatma ya mtu hadi aseme fulani ana dhambi yule ana dhambi kidogo na mimi sina dhambi kabisa!AIBU kama ni kweli: Ngoja wasabato na waislamu waione hii. Waumini watakoma.
Sawa ndugu yanguShukrani na tuendelee kupeana maarifa Brother 🙏🏽🙏🏽
Kwa namna gani? Fafanua vizuri.Kwa kan
Kwa kanuni ya maadili ushoga ni uhalifu
Maadili ya watu gani? Wa nchi gani?Kwa kan
Kwa kanuni ya maadili ushoga ni uhalifu
Wewe una akili sana kuliko huyo alianzisha huu uzi.yaan Papa akusema kuwa anasapoti hata sehemu ila amesema sio uharifu bali ni dhambi kumuelewa papa hapa wanaitajika watu wenye akili wapumbavu ndio watarukia kuwa papa anasapoti ushoga .Papa anamaanisha binadamu huwezi kumuhukumu binadamu mwenzio mwenye kutoa hukumu ni MUNGU tuRead between the lines, Anyway,
- Ni kweli sote ni wa Muumba
-Ni kweli kwa nchi zilizohalalisha ushoga, inakuwa si uhalifu.
Ila je, amesema sio dhambi?
Wewe una akili sana kuliko huyo alianzisha huu uzi.yaan Papa akusema kuwa anasapoti hata sehemu ila amesema sio uharifu bali ni dhambi kumuelewa papa hapa wanaitajika watu wenye akili wapumbavu ndio watarukia kuwa papa anasapoti ushoga .Papa anamaanisha binadamu huwezi kumuhukumu binadamu mwenzio mwenye kutoa hukumu ni MUNGU tuRead between the lines, Anyway,
- Ni kweli sote ni wa Muumba
-Ni kweli kwa nchi zilizohalalisha ushoga, inakuwa si uhalifu.
Ila je, amesema sio dhambi?
Usichanganye sheria za nchi na mafundisho ya Kanisa. Mafundisho ya Kanisa mtu awe mwizi, mlevi, mchawi, kamwe hayaagizi watengwe bali wavutwe karibu kutoka popote walipo, waonyeshwe upendo na njia sahihi ya maisha.Hii ya kutowatenga ili tuwaelimishe,hata wezi pia watataka hiki kipengele kiwepo ili wasiuwawe sasa.
Usali wapi wewe si maalimu kabisaMajanga, ndio maana Huwa sisali hii ni miradi ya watu ndio maana wanasapoti upumbavu na ushetani
Siyo kila uhalifu ni dhambi, siyo kila dhambi ni uhalifu. Lakini kuna makosa, ni dhambi na uhalifu pia.Huwezi tenganisha dhambi na uhalifu.
Siyo kweli Sheria ya ndoa ya mwaka 1973 na marekebisho yake ya 2019 yanakataza kufanya mapenzi na mwenza wa mwingineWapi aliposema haki za mashoga? Amezungumzia kuwa ni dhambi, ila sio uhalifu, na ni kweli kabisa. Wewe ukifumaniwa na mke wa mtu leo, hakuna sheria inayokupa adhabu, lakini ni dhambi.
Kumbe! Kutembea na mke wa mtu siyo kosa
Kama mke wa mtu huyo ana miaka 18 au zaidi, na alitoa papuchi yake kiroho safi (kwa hiari) kwa jamaa mwingine (mgoni). Basi mgoni atakuwa hana hatia. Mtego pekee ambao mgoni hapaswi kuuingia ni "kukiri mbele ya hakimu kuwa anafahamu kuwa huyo mwanamke ni mke wa mtu". Kwahiyo wale wazee wa...www.jamiiforums.com
[emoji23]Ndio muasisi wa wimbo nampa papa nini?
Ushoga ni tabia na sio asili.Kila mtu ni mdhambi. Kumbuka kauli ya Yesu, asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kumtupia jiwe'. Mungu anampa kila mdhambi nafasi ya kutubu. Papa angeqaita mashoga ni wahalifu wangewindwa kama majambazi, amani ingevurugika
Mtazamo binafsi wa papa sio msimamo wa wakatoliki.Dini ya mchongo hii
Siongezi kitu mna uhalisia unajionesha
Ukisha kuwa shoga shughuli imeisha, utatafunwa mpaka unakufa, hapa Bongo wakina James delicious walishapelekwa mahakamani wakapigwa faini , wakati wa MakondaTuanze na hii. Hapa Bongo mlishawahi kusikia mtu amepelekwa mahakamani kwa kosa la kuwa shoga?