Siyo kila dhambi ni uhalifu. Ujangili ni uhalifu lakini siyo dhambi. Uzinzi ni dhambi ila siyo uhalifu. Kubaka ni dhambi, ni kosa pia ni uhalifu.
Jambo huwa lina hesabika ni uharifu kutokana na sheria ya nchi husika ww hapo umetolea uzinzi kuwa sio uharifu lakini sio uharifu kwa mujibu wa sheria za nchi yako lakini nchi nyingine uzinzi ni uharifu kama uharifu mwingine na ukifanya unaenda jera.

Papa alicho kosea ni kuisemea dunia nzima.
 
Dhambi ya kipekee unachomwa na moto wa gesi, mkaa au kuni??
 
Na ikumbukwe litakalo funguliwa Duniani na mbinguni linafunguliwa, papa awe makini
 
Wewe ni mkatoliki?
 
Laiti ungeelewa ninachojadili hapa na comments kama mbili zilizopita na zinazofuata wala usingeandika haya uliyoyaandika hapa
 
Duuh sipati picha ushoga uruhusiwe, kudadeki ntaanza kutembea na mafyekeo mfukoni, dume lenzangu lije linitongoze nafyekelea mbali pumbaf na nusu *****
 
Dah, nimecheka sana. Haya mambo haya yanachekesha sana.

Utashangaa Serikali ikisema mashoga wote wauawe, utashangaa baada ya siku mbili humu JF nabaki mimi na labda Maxence Melo tu, wengine pamoja na kelele zenu nina wasiwasi na hatma zenu!
Tunajua namna ya kujikinga. Ukilijua hili ni zombi dawa yake kama uwezi kemea pepo mwaga mbio hakuna jinsi.
 
Uzinzi ni dhambi kubwa sawa na ushoga nashangaa watu wanafanya Uzinzi then wanaona sio dhambi hizi nchi za Dunia ya tatu zina wajinga wengi ktk Mambo ya dini.
Usitafute justification, kama wewe unatinduliwa mtaro endelea kutinduliwa tu.
 

Tambua uovu una nguvu,hata wasio waovu kesho watakuwa waovu KWA kigezo mbona fulani anafanya.
 
Huyu papa anaunga mkono utoaji mimba kuunga mkono ushoga sio ajabu kwake
 
Ni wapi imeonyesha kaisemea dunia nzima? Kuna nchi hata haiutambui ukristo, na sio wakristu wote kiongozi wao ni papa.
Papa ni kwaajili ya wakatoliki.
Yeye kakosoa sheria zinazo haramisha ushoga kwa maneno mengine ameziambia nchi zote duniani zilizo haramisha ushoga kuwa wana chofanya sio sahihi na waziondoe hapo ndo alipo kosea.
 
Dhambi yoyote ni kosa, yeye kama anashikishwa ukuta aseme tu mbona hata tembea yake inaonesha ni mtu gani.
 
KWA nchi za kiislamu katiba yao uzinzi ni dhambi na uhalifu pia. Kidini na kisiasa pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…