Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi
Yeye kakosoa sheria zinazo haramisha ushoga kwa maneno mengine ameziambia nchi zote duniani zilizo haramisha ushoga kuwa wana chofanya sio sahihi na waziondoe hapo ndo alipo kosea.
Neno lake si sheria.
Kukosoa kila mtu anakosoa
 
Tunajua namna ya kujikinga. Ukilijua hili ni zombi dawa yake kama uwezi kemea pepo mwaga mbio hakuna jinsi.
Mwanaume kamili hauogopi hovyo, tena unamuogopa mtu unayemuona dhaifu kweli? Mimi ninachoona hicho unachoita "kuambukiza" na kwamba eti "wana ushawishi" ni kuwa wanaume wengi wanajijua kuwa ni wadhaifu katika hisia zao. Wanaona akikaa karibu na shoga au akimuona tu, tamaa itamjia halafu ataaibika mbele za watu. Ila ninachojiuliza mwanaume kamili kwa nini umtamani mwanaume mwenzio, huo si ndiyo ushoga wenyewe?
 
Uzinzi si ni haki kufanya lakini ni dhambi.

Sijaona alichokosea na nadhani ni bora kuwatambua mashoga kanisani kuna faida maana tunajua watu gani tuwambie watoto wetu wakae nao mbali kuliko kupinga kumbe majangili wapo in silence mode siku tunawapa watoto washinde nao tukijua wafia dini wenzetu tunarudi tunakuta wamelawiti dadeeq!
Uzinzi ni haki kwa mujibu wa sheria ya nchi uliyopo ila nchi nyingine ni uharifu kwa mujibu wa sheria zao.
 
Kosa la papa ni kuisemea Dunia yote, ushoga sio uhalifu kwao lakini kwa Jamii zingine duniani ni uhalifu. Mfano urabuni, afrika kuna ukatoliki huko ushoga ni dhambi na uhalifu pia.
Papa kachemka
 
Tambua uovu una nguvu,hata wasio waovu kesho watakuwa waovu KWA kigezo mbona fulani anafanya.
Hakuna siku uovu utaisha duniani mpaka siku hii dunia inaisha kwa sababu wote tumejikuta tunazaliwa tukiwa huru kutenda tunayoyataka toka tukiwa wadogo tupo baadhi wazazi wetu leo haawaamini tulivyo na tabia za ajabu kwa jinsi tulivyokuwa na maadili kipindi tunakua.

Waovu wapo na wanabadilika kuwa wazuri na wazuri wapo wanabadilika kuwa waovu it depends how mtu ameamua kuwa so kila mmoja apewe nafasi ya kubadilika pale anapohisi nafsi yake imeikinai dhambi aliyoizoea na hii hasa ndiyo point ya Pope,tatizo kauli imetolewa na kiongozi anayejulikana ni wa taasisi ya kiimani anayepaswa kusema lugha nzuri ktk mazingira yoyote sitegemei taasisi husika kutopopolewa mawe.

Ningepata nafasi ya kumshauri ningemwambia awe anakaa kimya tu na haiwezekani maana kiongozi lazima aongee mema na mabaya
 
Laiti ungeelewa ninachojadili hapa na comments kama mbili zilizopita na zinazofuata wala usingeandika haya uliyoyaandika hapa
Ww umesema ushoga sio uharifu bali ni dhambi na mm nimekujibu kuwa jambo fulani huwa lina hesabika kama uharifu kwa mujibu wa sheria za nchi husika na si vinginevyo.

Mfano kenya kuuza na kula mirungi sio uhalifu kwa mujibu wa sheria zao ila Tz ni uharifu kwa mujibu wa sheria zetu na ukikamatwa unaenda jera.

Kwa hiyo na ushoga sio uharifu kwa mujibu wa sheria za nchi fulani lakini ni uharifu kwa mujibu wa sheria za nchi zingine hivyo sio sahihi kuisemea dunia nzima.
 
Mwanaume kamili hauogopi hovyo, tena unamuogopa mtu unayemuona dhaifu kweli? Mimi ninachoona hicho unachoita "kuambukiza" na kwamba eti "wana ushawishi" ni kuwa wanaume wengi wanajijua kuwa ni wadhaifu katika hisia zao. Wanaona akikaa karibu na shoga au akimuona tu, tamaa itamjia halafu ataaibika mbele za watu. Ila ninachojiuliza mwanaume kamili kwa nini umtamani mwanaume mwenzio, huo si ndiyo ushoga wenyewe?
Kwa hali ya kawaida nakubaliana na wewe. Ila...Ukiingiwa na roho ile akili yako haitafanya kazi kama unavyofikiri sasa. Ndio mana waliosaidiwa wakatoka katika hayo matatizo wanajishangaa ilikuaje waliishi vile
 
Kwa hali ya kawaida nakubaliana na wewe. Ila...Ukiingiwa na roho ile akili yako haitafanya kazi kama unavyofikiri sasa. Ndio mana waliosaidiwa wakatoka katika hayo matatizo wanajishangaa ilikuaje waliishi vile
Na mimi kwenye hilo sipingani na wewe kuwa kuna uwezekano ni roho chafu imo ndani yao. Sasa hakuna anayejua iliwaingia wakati gani na ni kwa sababu ya matendo yao wenyewe au ya wengine.
 
H
e unafikiri makka pale na hawataweza kusema kama alivyosema papa ni swala la muda tu.
Hahahaa endelea kusubiri,halafu waislam hawana makao makuu Wala mkuu mtoa tamko,na ukisema kitu tofauti na Quran usipobondwa basi utaangaliwa tu Kama haja kubwa na hakuna atayekusikiliza tena
Huwajui kaka?????Wanasema suna na imani zao zinawaruhusu kabisa
Au siyo,unajipoza,unaiqolaizi ili muwe sawa...liwati Haram kwenye uislam na uliona world cup qatar
 
Kuna tofauti kati ya uhalifu, kosa na dhambi. Kwa kutumia huo mfano wa mwizi, wizi ni uhalifu, ni kosa na ni dhambi. Kumpiga mwizi ni kosa lakini siyo uhalifu wala dhambi. Kuua mwizi ni kosa, ni uhalifu pia ni dhambi. Kuoa binti chini ya miaka 18 ni kosa lakini siyo dhambi. Kubaka ni kosa, ni uhalifu lakini pia ni dhambi. Ujangili ni uhalifu na ni kosa lakini siyo dhambi. Ushoga siyo uhalifu lakini linaweza kuwa kosa baadhi ya nchi lakini ni dhambi. Ukimuona shoga usimuone kama mhalifu bali muone kama mdhambi kama unavyomuona slay queen anayedanga
Dhambi ni neno la kiarabu lenye maana ya kosa',khalifu(halifu) ni neno la kiarabu pia lenye maana nyingi ikiwemo Pinga,enda kinyume
 
Yeye hayo mamlaka ya kusema sio uhalifu amepewa na nani hali ya kuwa sheria za nchi zinatofautiana?
Tz kutembea na mke wa mtu sio uharifu lakini Saudia , Qtaar ,Iran ni uhalifu na ukifanya utaenda jela.

Hivyo hivyo ushoga ni halali kwenye nchi fulani na ni uharifu kwenye nchi nyingine sasa hayo mamlaka kuisemea dunia nzima ameyatoa wapi?
Sasa iweje wewe uwe na mamlaka halafu yeye asiwe nayo? Kwani nini unadhani Kanisa linamiliki pia shule na hospitali?
 
The worst Pope in history! He is teaching against the church teaching! He has turned the Vatican to be a pagan state!

Too much confusion against church teaching! Mkristo unapaswa kulijua Kanisa na mafundisho yake, utakuja wakati even the devil himself anaweza kukaa pale Vatican!

Pope hapaswi kufundisha kinyume na maandiko wala mapokeo! Huu ni uasi. Bishops should publicly denounce this nonsense. Sitaki hata kutaka kumuelewa alitaka kumaanisha nini!

Rest in peace Pope Benedict. The church is in a war from within! Pray for the church.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Pole ndugu, jaribu kumuelewa. Utamulaani siku akisema wafungishwe ndoa au siku akitoa daraja la upadre kwa gays. Lakini sasa hivi hajakosa kihivyo. Naona amesema kama alivyosema kuhusu watalaka waliooa kiserikali wasitengwe na kanisa ila wafundishwe kama wana wa Mungu pia.
 
Back
Top Bottom