Tulia tulia shekhe sisi wa RC tumemwelewa baba mtakatifu

USSR
Mtachimwa na Alla kwa sababu nyie na wapagani na manadanganywa sana siku yakushtuka tayari ni siku ya mwisho
 
Unamlisha maneno ya uongo. Uongo dhambi, kama ushoga tu.
Kuwenu kama Muslims ambao hawamung'unyi maneno lipokuja swala la dhambi. Sasa nyie mnabembeleza Nini au hata mapadre baadhi ni mashoga ndo maana ya kigugumizi
 
Acha uongo, hujafatilia hata hizo ziara. Kila nchi ina ajenda zake na amezi address vizuri sana tena kwa misingi ya maandiko.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ukatoliki na Ukristo ni vitu viwili tofauti. Ukristo unakataza tusiabudu sanamu. Ukristo unakataza ibada za wafu, Ukristo unakataza ulawiti na ushoga.
Ukristo unatoka kwa Kristo Ukatoliki unatoka kwenye tawala za kipagani za kale

gani
 
Kwa mnyazi hatuji alafu papa sio kiongozi wa ukristo bali ni kiongozi wa roman katoliki alafu cheki maeneo yalio sheheni ushoga kama mombasa, zenji n.k kote huko ni wazee wa msuli na barakashekh alafu unakuja ubwata bwata tu UNATAFUTA MUME?
 
Ukatoliki na Ukristo ni vitu viwili tofauti. Ukristo unakataza tusiabudu sanamu. Ukristo unakataza ibada za wafu, Ukristo unakataza ulawiti na ushoga.
Ukristo unatoka kwa Kristo Ukatoliki unatoka kwenye tawala za kipagani za kale

gani
Hapo umeongea hisia zako. Ukatoriki ndo ukristo hayo madhebu mengine yamejengwa kwa misingi ya uongo uongo na ubinafsi wa kujitafutia kipato tu na Wala hakuna mkatoliki anayeabudu sanamu hizo ni propaganda za kuchagua ukatoliki tu kwa maslahi ya kujaza waumini. Ile ni mafundisho tu kwa vitendo kama unavyofindishwa hesabu farasani halafu unapewa calculator kama mwalimu wako wakati infact siyo mwalimu Bali kifaa tu.
 
Weka amri zenu kumi tuone kama ziko sawa na alizopewa Musa
 
Kwani unezaliwa kipindi Cha musa au. Hizo amri uliziniaje kama siyo wasomi wa kikatoliki waliozichambua zikakufikia wewe na Sasa unajiona we ndo wa kwanza kuziona. We umeletewa biblia hiyo na haohao wakatoliki ndo mana hakuna lolote mnalolijua zaidi ya mihemko ya ki utafutaji tu kama mwamposa anayewauzia maji na mafuta kwa kupaka rangi eti ni ya upako
Weka amri zenu kumi tuone kama ziko sawa na alizopewa Musa
 
Heshimu dini ya wenzako usije tukaniwa dini yako ya hovyo ile ya mudi muoa vizee na vitoto vidogo vya miaka8
 
Eti waarabu wanaongoza kwa kuchokonoa jichooo...?
 
Kuwenu kama Muslims ambao hawamung'unyi maneno lipokuja swala la dhambi. Sasa nyie mnabembeleza Nini au hata mapadre baadhi ni mashoga ndo maana ya kigugumizi
ushoga upo sana pwani huko je ni muslim au kristu
 
Torati ndiyo ina amri za Musa na walikabidhiwa Wayahudi. Judaism ndio wenye torati yao.
 
Sitetei ushoga lakini sikiluzeni enyi watu mnao kremu hata maadili!

Hivi mbona hamuwazuii wezi kuingia kanisani kwani sio watoto wa Mungu?

Mbona hamuwazuii walevi kuingia kanisani…?

Mbona hamuwazuii malaya…?

Wachawi?

Mlitaka Papa awatenge mashoga lakini awaache malaya?

Papa hajaruhusu ushoga ila anasema tusiwatenge watu hao tuwapokee makanisani na kuwasaidia. Kwani hatwapikei wezi na wakosefu wengine na kuwasaidia?
 

Dini inayonyumbulika kutokana na wakati

Majanga, ndio maana Huwa sisali hii ni miradi ya watu ndio maana wanasapoti upumbavu na ushetani

Yalaaaaaaaa
Mama weeeeeeeeeee.......
Tumekwisha tumekwishaaaaaaa .......

Read between the lines, Anyway,

- Ni kweli sote ni wa Muumba

-Ni kweli kwa nchi zilizohalalisha ushoga, inakuwa si uhalifu.

Ila je, amesema sio dhambi?

Kweli papa ni sehemu ha satanic frontier. .hapa sina neno dini ni mladi na mungu anataka uhusiano naye tu mzuri wala sio dini wala dhehebu

Nasuburi comment fupi fupi kutoka kwa wafuasi wapapa wazee wa kutubu dhambi mbele ya mwanadamu mwenzao

Ndio uhalisia huo Sasa papa wenu anawaonesha

Kuanzia leo mimi ni mkatoliki kuliko papa, huyu papa astaafu, anazeeka vibaya

Uzinzi ni dhambi kubwa sawa na ushoga nashangaa watu wanafanya Uzinzi then wanaona sio dhambi hizi nchi za Dunia ya tatu zina wajinga wengi ktk Mambo ya dini.

Bora mimi sio mkatoliki

Njoo huku tuswali Sunnah,hatubadili kitu huku hakuna mwenye mamlaka hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…