View attachment 2537218
Labda unafirwa wewe. Kuhamasishwa sio mpaka mtu apite nyumba kwa nyumba
Haitoshi. Anglican tanzania wangeeleza wazi kabisa kwamba wanapinga kitenfo cha kanisa la uingereza kuwabariki watu wa jinsia moja wenye mahusiano ya kingono hata kama wamefunga mkataba wa kuishi pamoja unaotambuliwa na serikali.
 
Unamaanisha nini?
Mada za ushoga zimekua nyingi kwanini msiziunganishe kama haziwezi kufutwa?
Taswira ya Jamii Forum imechafuka kila kona ni mada za ushoga badala ya kufutwa basi ziunganishwe ili kuzuia utitiri wa mada za aina moja ambazo mwisho wake ni watu kutukanana, kukashifiana na kuitana majina ya kuudhi.
 
Vip kuhusu afande nae Ni wakanisani?
 
Tukisema RC ni ma freemasons wanabisha,unabii wa Daniel na Ufunuo umesema huyu ndiye ataasisi 666,huyu ndiye joka aliyejificha kwny kivuli Cha dini,Lucifer makao yake makuu yapo Vatican,waumini hawataki kusikia ukweli basi mjisomee unabii wa Daniel na ufunuo catholic ni wakala wa lucifa shetani ipo siku mbinguni mtaonyeshwa hizi msg na mtakiri ukaidi wenu,ipo siku catholic mmebadili majira na Sheria siku ya Sabato Jumamosi Iko wazi nyie mnalazimisha J2,eti saa 3:00 ni saa 9 mmeaminisha Dunia hvy, siku inaisha jua likizama km maandiko mwanzo Yanavyosema nyie mmeaminisha watu eti saa "6 usiku
 
POINTS HAPO NI
USHOGA NI DHAMBI MBELE YA MUNGU ILA SIYO KOSA KISHERIA KWENYE BAADHII YA NCHI.

KANISA HALIWEZI HALALISHA USHOGA KWAKUWA NI CHUKIZO MBELE ZA MUNGU.
KWA MANENO HAYO KANISA KATOTOLIKI HALIJAIDHINISHA USHOGA WALA PAPA HAJAKUBALIANA NA USHOGA ILA ILICHOSEMA BADO HAKUNA SABABU YA KUWATENGA MASHOGA BALI WASALI NA KUMCHA MUNGU MAANA NI WATOTO WA MUNGU.

HIVYOKANISA KATOLIKI LIMESHIKILIA USHOGA NI DHAMBI NA CHUKIZO MBELE YA MUNGU .
 
Kuwa shoga ni uhalifu?! Hivi kuwa kiziwi ni uhalifu? Ujue ushoga ni hali wanayokuwa nayo watu kutokana na aidha mazingira walimokulia, au hali ya kuzaliwa hivyo kijenetic. Huwezi kumwita mtu mwenye hali hii mhalifu. Wengi hawaelewi hapa.
Kuwa kiziwi ni ulemafu, na alie kiziwi, hana hiari ya kuto kuwa kiziwi, lakini ushoga, siyo ulemamavu, ni tendo la hiari, na alie shoga, anahiari ya kuacha tabia ya ushoga.

Umetoa mfano wa vitu viwili, ambavyo haviendani kabisa.
 
Wafuasi wake wanatokwa na povu tu huku[emoji1787]
Haya ndio mambo nimesema kwenye ule uzi wangu-dini ni za kwao wameleta wao sisi tumepokea tu, unawaza vipi kumbishia papa.
 
Kuwa kiziwi ni ulemafu, na alie kiziwi, hana hiari ya kuto kuwa kiziwi, lakini ushoga, siyo ulemamavu, ni tendo la hiari, na alie shoga, anahiari ya kuacha tabia ya ushoga.

Umetoa mfano wa vitu viwili, ambavyo haviendani kabisa.
Kama sheria zinasema ni uharifu basi itakuwa ni uharifu,hata wezi pia wengine wanazaliwa na kuwa na tabia hizo lakini sio kwamba wanaachwa kuna sheria zitawabana
 
Sosi wallah πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mleta mada ni mnafki. Ina maana haujaona hapo kwamba amesema ni "DHAMBI"??
 
Huyo jamaa ni shetani
 
Sitaki kuamini nawee ndo umeandika hayaa, unatumia logic au ndo mhemko wako tyuuh? Duuh kazi ipooo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanalia kwa keyboard, wakichokaaa wataacha. Na hawawezi kubadili chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…