Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi
Umeelewa kilichoandikwa? Au unasoma lakini uelewa ndiyo shida?
Badala ya kujishughulisha na hoja wewe unaanza kydandia watu ili wakubebe na utabebwa kweli.

Yeye amesema hilo tendo siyo uharifu bali ni dhambi.
Kuna mambo yanatafsiri uharifu, na dhambi ina tafsiri yake.

Haya hebu wewe tutafsirie uharifu wa hao watu?

Wenye uelewe mdogo ndiyo mmejiweka mstari wa mbele kupinga ushoga matokeo yake ninyi ndiyo chambo mnadakwa kilaini kabisa na kumegwa kimasikhara.
Huwezi kusema sio uhalifu hali ya kuwa nchi nyingine kuna sheria zinazo utambua kama uharifu.
Kitu chochote uhesabika kama uharifu kutokana na sheria ya nchi husika na ndio maana unaweza kuta Tz kitu fulani ni uharifu kwa sababu ya sheria zetu lakini ukaenda kenya ukakuta hakichukuliwi ka uhalifu.
Sasa huyo papa hayo mamlaka ya kuamlia dunia nzima kuwa huu ni uharifu na huu sio uharifu ameyatoa wapi?
 
Lengo kuu la ushoga ni kuondoa mankind,ni ajenda za kufuta uzao wa binadamu.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kukojolewa then akawa timamu anaondolewa utu wake.
Thus shoga hana thamani kwenye Jamii ni SAwa na pigs, hawezi simama kwenye Jamii anaonekana ni takataka.
Wengi ni kama Wana shida ya mental uishi hatia.
Shoga azai
Unataka kusema hao wanawake zenu mnaowakojolea hawana akili wameondolewa utu? [emoji15]
 
Write your reply...HAKUPASWA KUSEMEA CHOCHOTE KUHUSU USHOGA.HAKUNA RIGHT YA MASHOGA KWENYE IMANI.ukiruhusu tu basi utakuwa umeleta mkanganyiko wa imani.ushoga ni dhambi masuala mengine wachie hao wanaharakati we baki na yako imani
 
Yote uliyoyaongea nayaelewa na kwa akili za kibinadamu ni sawa lakini kwa kuwa tunamuongelea Papa kwa kauli yake bhasi inabidi tumpime kwa matakwa ya Mungu na si matakwa yetu

Papa kasema si haki kwa nchi mfano kuwatolea hukumu ya kifo kitu ambacho kwa agano la kristu kipo sawa kwa sababu msamaha huja kwanza pale mtu atakapoomba toba

Hivyo, ukimuua mtu unamuondolea nafasi ya kutubu

Je, vipi wakisema kwenye amri za Mungu, mtu akivunja hata moja auwawe

Je, ni nani atasimama.. Jibu HAKUNA

Hiyo ndio mantiki ya papa katika msingi wa kuamini kuwa kila binadamu anastahili nafasi ya kuishi na kuomba toba

Kuhusu mantiki zetu za kibinadamu, tupo sawa kwa ubinadamu wetu lakini hatuwezi kulazimisha iwe ni mantiki ya agano jipya unless tulifute ili kurudia sheria za Musa ambapo hata mwanamke mzinzi.. Angehukumiwa kupigwa mawe hadi kufa
Na wale ambao kanisani wanatamka Yawheh wangepigwa mawe hadi kufa
 
Yote uliyoyaongea nayaelewa na kwa akili za kibinadamu ni sawa lakini kwa kuwa tunamuongelea Papa kwa kauli yake bhasi inabidi tumpime kwa matakwa ya Mungu na si matakwa yetu

Papa kasema si haki kwa nchi mfano kuwatolea hukumu ya kifo kitu ambacho kwa agano la kristu kipo sawa kwa sababu msamaha huja kwanza pale mtu atakapoomba toba

Hivyo, ukimuua mtu unamuondolea nafasi ya kutubu

Je, vipi wakisema kwenye amri za Mungu, mtu akivunja hata moja auwawe

Je, ni nani atasimama.. Jibu HAKUNA

Hiyo ndio mantiki ya papa katika msingi wa kuamini kuwa kila binadamu anastahili nafasi ya kuishi na kuomba toba

Kuhusu mantiki zetu za kibinadamu, tupo sawa kwa ubinadamu wetu lakini hatuwezi kulazimisha iwe ni mantiki ya agano jipya unless tulifute ili kurudia sheria za Musa ambapo hata mwanamke mzinzi.. Angehukumiwa kupigwa mawe hadi kufa
Aseeee kuna majitu yana akili nyingi duniani mpaka yanakera. BRO BRAVOO!! kiukweli nakuelewa sana unavyoandika. Unajua watu wengi wametanguliza hisia sana kwenye hii statement by the way unaeleweka na hata mtoto wa nursery
 
Lengo kuu la ushoga ni kuondoa mankind,ni ajenda za kufuta uzao wa binadamu.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kukojolewa then akawa timamu anaondolewa utu wake.
Thus shoga hana thamani kwenye Jamii ni SAwa na pigs, hawezi simama kwenye Jamii anaonekana ni takataka.
Wengi ni kama Wana shida ya mental uishi hatia.
Shoga azai
Ni kweli, matendo ya ushoga yanatia kinyaa kabisa. Lakini, na hayanaifa yoyote kwa jamii kama kuzaa na kuongezeka. Shida ni kuwa yanakuwaje jinai na uhalifu?
 
Papa hajakosea.
Ushoga sio kosa la uhalifu bali ni dhambi.
Jambo uhesabika kama uharifu kutokana na sheria ya nchi husika kwenye nchi yako kutembea na mke wa mtu au kufanya uzinzi sio uharifu lakini kuna baadhi ya nchi ukitembea na mke wa mtu unahesabika kama uharifu mwingine na unaenda jera.
Hivyo papa hapaswi kuisemea dunia nzima .
 
Huenda ni shinikizo kapata....anakubali na kukataa at the same time!
 
View attachment 2495432
Hii line hapa kutoka main post wewe umeielewaje?na nimeandika ktk post uliyoni-quote nayo kwamba mazingira ya Tanzania Maaskofu wanaweza kuharamisha ushoga kwa sababu ya Tanzania kwanza kama taifa katiba haiutambui pia utamaduni wetu hauruhusu huo ujinga but Maaskofu pale America taifa linaloutambua ushoga hadi kwenye katiba yao hawawezi kusema hivi kwa sababu taifa na wananchi wake wanautambua ushoga na pia kusema hivi moja kwa moja watakuwa wamewafukuza Kanisani so waachwe waingie kuchangamana na wenzao wadhambi wenzao kama wazinzi wezi nk ili kila mmoja atubie dhambi zake.
SAsa hao wanaendesha dini KWA kufuata katiba ya nchi na sio muongozo wa Ukristo.
Hawana tofauti na mitume na manabii wanaoruhusu wanawake wanaovaa isivyo KWA maadili ya Kikristo kuingia makanisani mwao sababu watakosa sadaka.
Kanisa kufuata utamaduni wa eneo husika badala ya Muongozo wa Biblia,huko ni kwenda kinyume na mafundisho ya dini.
Kanisa na siasa havichangamani.
Katiba ya nchi inahudumia watu wote wa Mungu na wa shetani. Dini inatakiwa isimame kama dini hata kama atasali mtu mmoja, wanaotaka kujiunga na dini wafate misingi ya dini na sio dini ifate misingi ya katiba.
 
Huwezi kusema sio uhalifu hali ya kuwa nchi nyingine kuna sheria zinazo utambua kama uharifu.
Kitu chochote uhesabika kama uharifu kutokana na sheria ya nchi husika na ndio maana unaweza kuta Tz kitu fulani ni uharifu kwa sababu ya sheria zetu lakini ukaenda kenya ukakuta hakichukuliwi ka uhalifu.
Sasa huyo papa hayo mamlaka ya kuamlia dunia nzima kuwa huu ni uharifu na huu sio uharifu ameyatoa wapi?
umemaliza mjadala
 
Back
Top Bottom