mkuu Tanzania viongozi wanaraha sana kuongoza makondoo. watatoa sababu VITA YA UKRAINE

Nape ata ropoka mnatumia vibaya demokrasia, mama atasema ameziba masikio, mchezo utakuwa umeisha.
 
Nawakumbusha kuwa jana Polisi wamesema hakuna ruksa kumsema Rais, hivyo ndugu zangu kila kinachotokea kifanyeni kama kimesemwa na mfanya maombi...itikieni tu EIMEEN [emoji22]
 
Huyu mama hana control tena na hii nchi maana ishamshinda watu wanafanya wanavyotaka.
Kuwa control Wafanyabiashara wa Mafuta inabidi Rais uwe mbabe Kama Magufuli, ukiwachekea imekula kwako, maana watakupa Kodi yako vizuri tu,sema na wwe usiwapangie bei ya kuuza Mafuta waacha wauuze wanavyotaka!!
 
Wadau nawasalimu.Ewura Wametangaza kuwa BEI ya MAFUTA imepanda na Kupanda kumesababishwa na DOLA kuadimika.
Je Kwanini DOLA IMEADIMIKA?
Je Kuadimika kwa DOLA Kumesababishwa na NINI?
Je ni HATUA GANI Serikali inachukua juu ya UHABA wa DOLA?
Ni vema SERIKALI ikatoa na SABABU isiishie kusema ni DOLA kuadimika.
 
Lakini na Mishahara Samia si kapandisha!? Waacha na Wafanyabiashara nao wapaendeshe bidhaa zao!!
 
Tuliandika sana kuhusu uhaba wa dola, wewe ChoiceVariable na maroboti mengine yakapinga.

Sasa mnakubali kuwa kuna uhaba wa $$$$!!??
Mficha maradhi,kifo humuumbua.
 
Huu mlipuko wa bei ya mafuta unaenda kupandisha kila kitu, halafu mishahara ya watumishi imebaki ileile kiduchu.....nchi hii imeharibiwa sana na hawa wanasiasa wachumia tumbo wasiokuwa na vision wala ubunifu wowote, empty set!​
"Lile Jambo letu liko pale pale Watumishi msijali"
 
Lita 500,000 nikizitoa, mwezi ujao nafungua vituo viwili vya mafuta huko kuelekea Kusini.
 
Bei ya mafuta iachwe ipangwe na soko, serikali iingilie pale inapoona imezidi sana.
Soko huria laweza kushusha bei kwa zaidi ya 20% kwa kuondoa ukiritimba na rushwa inayoweza kujitokeza.
Siku hizi hakuna Soko huria tena, ni mwendo wa Soko holela, Wafanyabiashara hawashindani bali hukaa na kukubaliana bei ya kuuza na kiasi Cha Mzigo kitakacholetwa kwenye soko kwa ajili ya mauuzo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…