Wabongo ni wabishi kimaku yaan wakiambiwaga kitu wanabisha hawataki kuamini na wanaujuaji wakishamba
Ona Sasa kinachotokea yaan mpk kitu kitokee ndy muamini!!!
Alieturoga wabongo nadhani hakuzikwa Ila alichomwa moto ili apotee tusiweze hata kumfufua arudishe akili zetu.
 
Mvua inanyesha sana hali ya machinjio ya Vinginguti ni mbaya sana. Serikali imelala wapi? Nani wa kuiamsha?
 
Au bahari ipo juu ya mji?
 
Wee jamaa acha kutulisha matango pori' una uhakika kwamba circulation ya maji yote ktk mkoa wa dar inakomea jangwani?
Rudi shule kasome vzr benorious principle.
 
Na ndio sababu Yanga hawawezi kupewa eneo la kujenga uwanja pale
Ila injinia wao kilaza wa mchongo hajui Hilo🤣😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…