Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Russia, Hii picha sio ya Tanzania. Sources....Duuh wapi hapa
November 2 2078? Mbona kama dishi la mchapisha gazeti limeyumba?Hahahahaha View attachment 2800996
Ni Russia, Hii picha sio ya Tanzania. Sources....
View: https://www.pinterest.com/pin/10203536647764456/
View: https://www.instagram.com/p/CyLwOOjIeni/
UongoHahahahaha View attachment 2800996
Au bahari ipo juu ya mji?Haiingii akilini Jiji lililopo Pembezoni mwa Bahari kujaa Maji Wakati palikua na uwezekano Wa kuelekea mitato yote baharini na Maji yakatembea Kwa Kasi.
Maji kujaa Pembezoni mwa Bahari Ina Maana Bahari imejaa hakuna pa kuelekeza Maji yanarudi nchi kavu.
Ni rahisi sana kujenge mitaro mikubwa ya Maji na kuelekeza Maji yote baharini kuliko kuacha Maji yapenye penye yenyewe kwenye mikondo iliyojaa michanga na takataka.
Waafrika ni Bure Kabisa.
Jiji Kama Dodoma ,Arusha ,Mbeya na miji ya Morogoro, Tabora ,Singida n.k ni rahisi kukumbwa na mafuriko mana hakuna Sehemu rahisi ya kuelekeza mifereji ya Maji Wakati Wa mvua kubwa.
Au mpaka waje wageni kutusaidia.
Wee jamaa acha kutulisha matango pori' una uhakika kwamba circulation ya maji yote ktk mkoa wa dar inakomea jangwani?Umeongea kitu kizuri lakini ambacho huna uelewa nacho., unajua maana ya Sea Level!?,Sasa kuna maeneo kama jangwani ni at Sea Level, na baadhi ya sehemu Jangwani ni below Sea Level maji yakifika Jangwani ndo mwisho ndo maana huwa wanasubiri yakauke tu bahati nzuri kuna udongo wa kichanga huwa yanakauka haraka. Siku wakitoboa kuunganisha Jangwani na baharini siku hiyo bahari ikiwa inakupwa na kujaa hadi Jangwani na utakuwa mwanzo wa disaster nyingine. Umewahi kujiuliza kwanini maji ya Jiji zima la Dar es salaam mwisho wake ni Jangwani!??
Umeongea point ya msingi Sana posta yote ya zamani n mpya hakujawahi kuwa na mafurikoMvua ya kawaida tu hiyo sema miundombinu ya Jiji lenu mibovu. Watu wamejenga kiholela na kuziba njia za maji, matokeo yake ndo hayo.
Si Jimbo la bona Hilo?Mvua inanyesha sana hali ya machinjio ya Vinginguti ni mbaya sana. Serikali imelala wapi? Nani wa kuiamsha?
Na ndio sababu Yanga hawawezi kupewa eneo la kujenga uwanja paleUmeongea kitu kizuri lakini ambacho huna uelewa nacho., unajua maana ya Sea Level!?,Sasa kuna maeneo kama jangwani ni at Sea Level, na baadhi ya sehemu Jangwani ni below Sea Level maji yakifika Jangwani ndo mwisho ndo maana huwa wanasubiri yakauke tu bahati nzuri kuna udongo wa kichanga huwa yanakauka haraka. Siku wakitoboa kuunganisha Jangwani na baharini siku hiyo bahari ikiwa inakupwa na kujaa hadi Jangwani na utakuwa mwanzo wa disaster nyingine. Umewahi kujiuliza kwanini maji ya Jiji zima la Dar es salaam mwisho wake ni Jangwani!??
Aiseeee, wapi hii?Hali ilivyokuwa jioni ya leo!View attachment 2801822
Hahaaaaa, acha Roho mbaya.Wakati tunanunua ardhi sehemu salama mlikuwa mnatuona wapuuzi
Kuleni vyuma hivyo
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Huu ni ukwel mchunguHahaaaaa, acha Roho mbaya.
Kwer kabisaMvua ya kawaida tu hiyo sema miundombinu ya Jiji lenu mibovu. Watu wamejenga kiholela na kuziba njia za maji, matokeo yake ndo hayo.