Unaweza kuta unakaa mahenge uko. Unataka taarifa za nvua za Dar
 
Shukrani sana kwa taarifaπŸ™πŸ½
 
Wa Dar munatuonaje lakini, maana na magari mabovu/mabaya, pia munasema wapelekewe mikoani yanawafaa.
naongelea uhalisia na wala sio fahari kuwa hatuwezi kuhimili mvua. Ni fedheha kubwa kwa jiji linalojinasibu kwa ukubwa kutokuwa na miundombinu ya kumudu mvua kidogo tu.

Jionee ufahari kutokuishi kwenye hili jiji la ovyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…