Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Aibu!

Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.

Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.

20220919_112123.jpg
 
Kumbe uwezo wa kukaa na kujazana ndani ya basi upo tu😂😂 na kumbe hata wao ni binadamu tu kama sisi. Sasa kwa nini huwa wanajikweza huku?😀😀

Sema bimkubwa kinamna kama anajiziba uso asionekane😁


20220919_112839.jpg
 
Back
Top Bottom