Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Sasa mlitaka apandishwe kwenye Nini?
Hahaha unajuaje kama hakupandia mwenyewe kwenye basi hadi useme apandishwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mlitaka apandishwe kwenye Nini?
Mlete kiongozi wa mabeberu bongo kisha mpandishe bus uone balaa lake
Aibu ipo wapi sasa hapo jamani?Mlete kiongozi wa madabeberu bongo kisha mpandishe bus uone balaa lake
Kwa ile misururu yao ya VIEITEE zenye ving'ora walizonunua kwa TOZO ZETU.Wanajikwezaje wakiwa huku?
Nimecheka sana ujueSura ya Samia kwenye picha unaona kabisa anajisemea leo huko bongo mbona patachimbika kwa kupanda basi hilo 😄 🤣
Rais wa nchi yeyote haendi sehemu bila walinzi kutangulia, Lazima walinzi wa hao viongozi walitangulia siku kadhaa kabla,na huko Bus liendako wapoSasa kama Rais ndani ya basi je wale wapambe si wamebakia hotelini, protokali zote kwishnei...
Kweli Tanzania nchi ndogo sana, maana ningefarijika kama marais wa Ufaransa, Ujerumani US, Canada nao ningewaonamo humo.
Kwani Samia kaalikwa?Hivi nyie watu muko na matatizo?
Kuna ubaya gani ikiwa most head of state wamepandishwa basi?
Huyo magufoool hata kualikwa asingealikwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sura ya Samia kwenye picha unaona kabisa anajisemea leo huko bongo mbona patachimbika kwa kupanda basi hilo [emoji1] [emoji1787]
Mashaka yangu tuu hakuna hata Mzungu raisi ndani ya hako kabajajiAibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.View attachment 2361396
Naskia museven alitaka kwenda na hii ndinga wamemgomea[emoji16]View attachment 2361424
Wazamiaji kwenye picha ya pamoja.Wanatabasam tu wenyewe.[emoji16]View attachment 2361407
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huku kwetu "wakuu wa nchi" wanaingia kwa misafara. Ataanza wa Rwanda, Kenya, Tz, Botswana, nk. Wao tu kuingia ni shughuli ya masaa, huko wa malkia wote wamepandishwa Mbezi-Kivukoni.
Wakuu wa nchi za Afrika wamekuwa miungu watu .[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanatia huruma kweli.
Afu mbona hawajavaa barakoa? [emoji1787][emoji1787]