JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwanini tumezidi kuwaponda viongozi wetu.Mbona bus zuri tu jamani? Hawa wanaosema linafanana na linalokwenda bariadi wameona humo ndani?
Ahaa hata hivyo anajua huku bongo ni story kubwa akirudi watu watasema apande bus kwenda dodoma🤣
Siyo Aibu ni utaratibu umewekwa Kwa ajili ya Kupunguza Foleni. Joe Biden tu karuhusiwa kuchua Beast yake na kakwaama Mtaani.Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.View attachment 2361396
Huyo Ruto, ndiyo Kwanza anachekelea, kupandishwa kwenye basi, kwa kuwa yeye ni "Hustler" anaona kama vile wamempa promotion kumpandisha kwenye basi, kwa kuwa yeye kawaida yake kuendeshwa kwenye toroli!😅Mbna na ruto namuona humo kwenye bajaji ya wazungu
Patachimbika Kwa watu wajinga tu na siyo watu wenye uelewa na exposure.Sura ya Samia kwenye picha unaona kabisa anajisemea leo huko bongo mbona patachimbika kwa kupanda basi hilo 😄 🤣
Kwanini Biden naye asipande basi! Nimekumbuka Obama anaenda Bongo walisema hatutaki ulinzi WENU YaanSasa kila raisibwa taifavlake aliye enda hapo akiingia na msafara wake hilo.foleni lake unalionaje.?? Mengine tuwe tuna waza kwa upana aubkawaida tu
Hivi wewe nawe wa kuuliza swali hili kweli?Kwanini Biden naye asipande basi! Nimekumbuka Obama anaenda Bongo walisema hatutaki ulinzi WENU Yaan
Kajiziba mdomo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani anawaza "mamaa leo ntakoma huko bongo "[emoji23][emoji23][emoji23]
Anajua jinsi wabongo wanavyojua kuchamba, mbongo mpe picha tu maelezo anamalizia mwenyewe 🤣🤣🤣Sura ya Samia kwenye picha unaona kabisa anajisemea leo huko bongo mbona patachimbika kwa kupanda basi hilo 😄 🤣
Ni Kweli kabisaHata hapa wakati wa msiba wa Nyerere marais waalikwa walipanda Mabasi maalum
Kwa hiyo uklitaka apande nini? Kama Ruto tu na upya wake anapanda Bus yeye ni nani mpaka asipande bus? Sukuma Gang bado mna mhaho!Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.View attachment 2361396
Uje uminimize cost wao wakija ndio utajua hujui.
Wao hawataki kwanza ujio wa mtu wao usimamie wewe,wanasimamia wao,sisi hata tungetaka kusimamia rais wetu hapo kwao leo wangetukatalia.
Tuelimike kidogo😀😀😀Kila Rais iwapo atapewa just 6 Car motorcadeX50+ Marais London kutakuwa na gari ngapi?? Na je ukiongeza matajiri wa Dunia na USA president na msafara wake 100+Staff Itakuwaje?? Hili bus aliopanda Rais Samia na wengine mimi na wewe ata iweje atutolipanda! Hii imefanywa kutokana na kupunguza Trafic na Kuweka usalama makini- kulinda Bus lenye maraisi 20 ni kazi ndogo kuliko kulinda motorcade 20Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.View attachment 2361396