Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli hakuna kitu cha ajabu katika hili - wao watakaua na aibu kwa sababu ya lifestyle waliojizoesha, wenzetu ulaya kuona kiongozi mkubwa anatembea kwenda mahali au kutumia baiskeli na jmbo la kawaida sana sana! Pia, huu ni utumwa! kwenda kujipendekeza kwa wazungu - in the name of diplomacy! angetulia zake tu huku na issue za panya road na tozo.Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Ni Viongozi wote wa Duniani isipokuwa Biden na PM wa Israel tu
View attachment 2361399
Hapo ndio nilikuwa napasubiri maana kulikuwa kuna mjadala kama atatua moja kwa moja na Air Force 1 au itakuaje kutokana na pendekezo la UK, kumbe mwamba kaendelea kulinda statusBiden kagoma kupanda bus? Ila bus zao nzuri
Ndio maana raisi wa China, Xi Jinping alialikwa akakataa kwenda asije akapandishwa mwendokasi kama Ruto na wenzake. Kaamua kumtuma mwakilishi tuKwanini Biden naye asipande basi! Nimekumbuka Obama anaenda Bongo walisema hatutaki ulinzi WENU Yaan
Marais wa Wazungu wamepanda basi jingine?Ebu jamani tuache kulalamika.hivi kila kiongozi wa nchi apewe msafara si watakesha.kuna maraisi wangapi?
Una picha tuone 🤓🤓Acha ushamba wewe [emoji35] waliokuwa na magari yao ni rais wa marekani na Israel basi!
The rest ni mabasi!
Mijitu yenye uwelewa finyu ni shida humu jukwaani walahi!
Majitu mazima ovyooooooo walahi [emoji2959]
Unakuta katk siara yake mawaziri wake wote wnaakuja na gar lake kila mmojaKumbe uwezo wa kukaa na kujazana ndani ya basi upo tu[emoji23][emoji23] na kumbe hata wao ni binadamu tu kama sisi. Sasa kwa nini huwa wanajikweza huku?[emoji3][emoji3]
View attachment 2361420
View attachment 2361410
Umemuelewa ila umeamua kujizima data.Rais wa nchi yeyote haendi sehemu bila walinzi kutangulia, Lazima walinzi wa hao viongozi walitangulia siku kadhaa kabla,na huko Bus liendako wapo
Kwanini biden hajapanda basi kama WENZIE akina SAMIA [emoji1787][emoji1787]Acha ushamba wewe [emoji35] waliokuwa na magari yao ni rais wa marekani na Israel basi!
The rest ni mabasi!
Kwanini hao wawili wasipande mabasi na wao halafu mbona SUV kama 10 zimetangulia unajua waliopanda ni akina nani?Ni Viongozi wote wa Duniani isipokuwa Biden na PM wa Israel tu
View attachment 2361399