Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimbinyiko imehusika...jpm huu upuusi hakutaka ulaya ulayaaaaKwa Wanamazingira Duniani kote hivyo ndivyo inavotakiwa ku reduce emissions.
Bus ni bus tuWabongo wanadhani hilo busi ni kama yutong za kwetu.
Hujamuona Ruto hall?Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
kuna viongozi smart wametuma wawakilishiDharau hizi bora kutoenda tu kuliko kujidharirisha kama hivi
Mbona kwenye vikao vyao jengo la UN huwa wanakaa pamoja na hata stori wanapiga na kucheka pamoja
Umenena vyema mkuuSioni tatizo lolote hapo kwa Rais au Marais pale tu wakiwa Wengi katika Tukio Moja Kubwa na Muhimu Kupandishwa Basi Moja.
Hii hata hapa Kwetu Tanzania ilishafanyika katika awamu ya Rais Mstaafu Kikwete na hata pia katika Awamu ya Hayati Rais Dkt. Magufuli.
Na hili linafanyika Kiusalama zaidi kwani katika Mkusanyiko mkubwa wa Marais kama uliopo huko Msibani Ulinzi wa Viongozi ( VIP's ) huwa ni rahisi kama Wote wakiwa pamoja kuliko kila Rais Akilindwa kivyake na Itifaki yake kwani kuna Uwezekano mkubwa ikasababisha Usumbufu fulani utakaopelekaççv hata kupoteza muda na kuharibu Ratiba ya Tukio zima.
Xi Jinping wa Chinakuna viongozi smart wametuma wawakilishi
Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Aibu...usitetee ujingaSiyo Aibu ni utaratibu umewekwa Kwa ajili ya Kupunguza Foleni. Joe Biden tu karuhusiwa kuchua Beast yake na kakwaama Mtaani.
To reduce congestion, many world leaders are arriving at the funeral on shuttle busses organised by the British government.
Belgium's King Philippe and Queen Mathilde, Spain's King Felipe and Queen Letizia, Sweden's King Carl XVI Gustaf and Queen Silvia and the Netherlands' King Willem-Alexander
Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Kama jpm angelikuwepo angemtuma balozi asingeenda kabisa.kuna viongozi smart wametuma wawakilishi
Ni za kawaida tu, nilitegemea wangepewa Irizar badala ya hiziBiden kagoma kupanda bus? Ila bus zao nzuri
Usikasirike Sana, dawa ya mjinga ni kumpuuzaAcha ushamba wewe [emoji35] waliokuwa na magari yao ni rais wa marekani na Israel basi!
The rest ni mabasi!
Mijitu yenye uwelewa finyu ni shida humu jukwaani walahi!
Majitu mazima ovyooooooo walahi [emoji2959]