Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha itifaki wala nini..Hii ni itifaki ya kawaida sana hasa pale kunapokuwa na wageni wengi..wala haikuwa na haja ya kufungulia Uzi hapa..ungeuliza kwanza
Tatizo lugha, London like Kingereza chake cha kuungaunga angeongea na nani?Tusiongee kwa jazba kiukweli jpm asingeenda kwenye huo msiba, weka pembeni hizi habari za mabasi, yeye angemtuma balozi au au makamu wake au waziri mkuu au waziri wa mambo ya nje.
huu ndo ukweli.
Rip jlm wetu.
... kiburi cha mjinga hicho! Diplomasia haiko hivyo.Tusiongee kwa jazba kiukweli jpm asingeenda kwenye huo msiba, weka pembeni hizi habari za mabasi, yeye angemtuma balozi au au makamu wake au waziri mkuu au waziri wa mambo ya nje.
huu ndo ukweli.
Rip jlm wetu.
Bangi za mchana mbaya, unaelewa lolote kuhusu protocol?Zuhura yunus angetumia uzoefu wake london ampandishe mama kwa Uber
Anajua fika amepuyanga! Maana akiwa Bongo anatusumbua kweli na ile misafara yake iliyojaa magari lukuki ya kifahari..Samia kajiziba mdomo kwa aibu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mlituambia atakuwa mgeni maalumu huku hata BBC hawana habari, hata hivyo viongozi wote walipanda mabasi, acheni ulalamishi wa kijinga.Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Punguzeni chuki, kule kama hujachanja huingii.
Bangi za mchana mbaya, unaelewa lolote kuhusu protocol?
Inawezekana Tz wabunge,mawaziri,wakurungenzi,wakuu wa Mikoa, wilaya n.k kwenda maofisin kwao ,au bungeni KWa kutumia baiskeli,Sasa ni haters kivipi? Kuna hoja ya msingi hapa. Tunapoteza rasilimali nyingi kwa magari ya kifahali na kuwekana kwenye foleni kuwasubiri wapite wakati kumbe inawezekana kabisa kwao kufanya kazi kwa ufanisi kwa gharama nafuu.
Hii kweli aibu. Wamerundikwa waafrika utafikiri mahabusu kwenye lile basi la magereza.Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Hao wengine wa mabasi waache kiherehere cha kuzamia misiba isiyo wahusu..na kisebusebu cha kuita wazungu "wenzetu"...we are always niggers in their eyes half men even worse animals in the zooMarais na mawaziri wakuu 6 tu ndio watakuwa na convoy zao ambao ni America, Israel, Canada, France, German na Japan.
Wengine wote ni mabasi![emoji56]