Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia kisu kizameAcha umbwiga wewe
Punguzeni chuki, kule kama hujachanja huingii.Naona Hangaya hajavaa barakoa ila akija huku matopeni anavaa barakoa kubwa kama anaenda mwezini!
Wamekoma...wanatoa macho, halafu wadogo Kama pilitonKumbe uwezo wa kukaa na kujazana ndani ya basi upo tu😂😂 na kumbe hata wao ni binadamu tu kama sisi. Sasa kwa nini huwa wanajikweza huku?😀😀
View attachment 2361420
View attachment 2361410
Machame ExpressShabiby au
Wewe mwenyewe Id yako ni mlima wa huko Ulaya kwanini usiuenzi Mlima Kilimachakyaro au ni low iq?Kimbinyiko imehusika...jpm huu upuusi hakutaka ulaya ulayaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kupanda Basi ndiyo hadhi yao na sio haya mavietee ya tozo.
Hao ni Marais kutoka nchi masikini! Wamestahili kabisa kuwekwa kwenye basi moja, ili wakirudi nchini kwao akili ziwakae sawa. Walishindwa nini kuwakilishwa na Mabalozi wa nchi zao? Au wanataka kutuamisha wameguswa sana na huo msiba!! Au ni ukosefu tu wa kazi za kufanya!Ubaguzi hautaisha hapa Duniani. Mabasi ya marais weusi peke yao!
Hayati Magufuli angemtuma balozi tu amuwakilishe.
View attachment 2361528