Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Lumumba mwenzako hukoAcha umbwiga wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lumumba mwenzako hukoAcha umbwiga wewe
Hebu fikiria Biden angewekwa basi moja na yule Raisi Mula wa Taliban? Ingekuwa kazi kuwaamua.Sasa ulinzi wa Biden Rais wa taifa lenye nguvu duniani + maadui kibao duniani kote utalinganisha na Ulinzi wa Rais wa Tanzania?
Umezoea kuzamishiwaTulia kisu kizame
Kwa Kweli yale magari wanayotumia kuna wengine wanaona ni sawa na IST hawajui gharama zake hizo wanazo Tumia kila kiongozi , utakuta kiongozi anaishi mjini hakuna hata sehemu ya kumfanya akwame na gari lakini anatumia v8 Mbona kuna magari mengine mengi tuu ambayo siyo v8 na ni gharama ya kawaida tuu hawayataki kuyatumia? Yaani hapo ingekuwa kuna v8 ya billion 2 Basi wangeyatumia tuu , alafu gharama za tozo ndiyo zinazokuja kuyaendesha hayo magari Kwa gharama ambazo ni rahisi kuzikwepaAnajua fika amepuyanga! Maana akiwa Bongo anatusumbua kweli na ile misafara yake iliyojaa magari lukuki ya kifahari..
HaswaaaKupanda Basi ndiyo hadhi yao na sio haya mavietee ya tozo.
Mfuate huko alipoTusiongee kwa jazba kiukweli jpm asingeenda kwenye huo msiba, weka pembeni hizi habari za mabasi, yeye angemtuma balozi au au makamu wake au waziri mkuu au waziri wa mambo ya nje.
huu ndo ukweli.
Rip jlm wetu.
Wafuasi wa dikteta mna chuki na SAMIA, Sasa hapo mbona Samia Ni kama amekaa kwenye pozi tu la kawaidaAibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Hao wengine wa mabasi waache kiherehere cha kuzamia misiba isiyo wahusu..na kisebusebu cha kuita wazungu "wenzetu"...we are always niggers in their eyes half men even worse animals in the zoo
Walitaka wapandishwe helicopters mkuuKupanda basi ndiyo utaratibu uliopangwa na wenye msiba. Nawashangaa watu wakilalamika. Kwani hayo hajawahi kutokea Tanzania. Muwe na kumbukumbu. Viongozi waliokuja kwenye shughuli Fulani wakati wa utawala wa kikwete walipandishwa coaster Moja kwenda uwanja wa taifa na kurudi
Hebu fikiria Biden angewekwa basi moja na yule Raisi Mula wa Taliban? Ingekuwa kazi kuwaamua.
Huenda Raisi Mula angetumia kilemba kumnyongea Biden.
Unajizima data huyo imhotep ni mchaga kwani? Kwanini usiweke id ya mareale ama mankaWewe mwenyewe Id yako ni mlima wa huko Ulaya kwanini usiuenzi Mlima Kilimachakyaro au ni low iq?
View attachment 2361542
Mt Visuvius tena haufikii hata Mt Meru.
We pimbi kaa kimyaLumumba mwenzako huko
Waziri mkuu yumo.Na raisi wa India je? Mbona yeye hayumo kwenye basi?
Kwann Biden aende na msafara?kila mmoja angepewa msafara wake kungetosha kweli
Mimi sio Mchaga.Unajizima data huyo imhotep ni mchaga kwani? Kwanini usiweke id ya mareale ama manka