Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II
Kupanda basi ndiyo utaratibu uliopangwa na wenye msiba. Nawashangaa watu wakilalamika. Kwani hayo hajawahi kutokea Tanzania. Muwe na kumbukumbu. Viongozi waliokuja kwenye shughuli Fulani wakati wa utawala wa kikwete walipandishwa coaster Moja kwenda uwanja wa taifa na kurudi
 
Nchi ngumu Sana hi jmn Marais kupanda mabas unapandisha Uzi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Shida sio kupanda basi KWa Marais, shida ni jinsi Marais waishivyo kwenye nchi zao ,ya kwamba sio watu bali ni miungu watu, na kwamba hawastahili hata tembelea Noah ,kumbe inawezekana hata kupanda basi
 
Tusiongee kwa jazba kiukweli jpm asingeenda kwenye huo msiba, weka pembeni hizi habari za mabasi, yeye angemtuma balozi au au makamu wake au waziri mkuu au waziri wa mambo ya nje.
huu ndo ukweli.

Rip jlm wetu.
Jpm alikua na matatizo binfsi na kupanda ndege yule, alafu pia yai kwake ilikua shida kidogo, sio kwamba hakupenda kusafiri matatizo binafsi ndo ilikua changamoto, mtu masaa yote anakaa na feni, angeweza mikikimkiki,
 
Sasa kwenye hilo basi wakiishiwa chaji itakuaje maana pakuchajia hakuna
 
Back
Top Bottom