Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Waafrika kiherehere kinatuponza angekufa kunguru mwenzetu sijui kama kunanjiwa angekanyaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejiweka daraja la chini sana wakienda uko Duniani yani viongozi wetu wakienda uko wanakuwa wanyonge wakati wao ni matajiri tatizo lipo hapo.Sijui kwanini tumezidi kuwaponda viongozi wetu.
Acha ninyamaze
Kwendraaaaaa hukoJpm alikua na matatizo binfsi na kupanda ndege yule, alafu pia yai kwake ilikua shida kidogo, sio kwamba hakupenda kusafiri matatizo binafsi ndo ilikua changamoto, mtu masaa yote anakaa na feni, angeweza mikikimkiki,
Mara nyingi nimekuambia HUNA AKILI, Mama Samia atavaa barakoa kulingana na jinsi siku hiyo ilivyo. Na sio sababu uingereza wote wamechanja. Hapa nyumbani tu mara nyingi havaagi, au napo wote tumechanja??Punguzeni chuki, kule kama hujachanja huingii.
Yeye ni Raisi wa nchi tajiri Magufuli alisema tutembee kifua mbele nchi yetu Tajiri.Kwa hiyo uklitaka apande nini? Kama Ruto tu na upya wake anapanda Bus yeye ni nani mpaka asipande bus? Sukuma Gang bado mna mhaho!
Kwendraaa... kiburi cha mjinga hicho! Diplomasia haiko hivyo.
Huu ujumbe wa mwisho, inawezekana walitumiwa text ukichelewa utajibeba [emoji23][emoji23]
View attachment 2361573
Source: India PM Office.
Uache uongo, Wala kusingekua na fujo yoyote na inawezekana kabisa kila raisi kupewa usafiri wake maana hata kwenye mikutano ya UN hufanyika hivyoAfrika bhn Sasa Kila rais angepewa usafir Wake binafsi ingekuwa fujo na kazi zisingefanyika maana idadi ya polisi haitoshi wamechuka sehemu tofauti Ila nimependa
Ngozi nyeusi shida tupu..Biden hawezi panda busAibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Mbona ndege wanapanda??? Jamani sie wamatumbi fikra zetu ndio shida kuna viongozi zaidi ya 500 unataka kila mtu apande gari lake na walinzi wake lukuki na wasio na tija.Wakati watu kama akina magufuli wanapambana kutahiri fikra zetu,mbuzi kadhaa wakawa wanambeza,mbaya zaidi wengine wanatunzwa na hawa hawa wanaotudharau.
Anyaway as long as wote wamewekwa ktk bus,nadhani watakuwa wametumia wasaa huo kutafakari kwa pamoja juu ya namna wanavyochukuliwa na hao watu.
Kweli hawamo kwa walioalikwa rasmiMbona mnasahau kuna orodha mbili...kuna orodha ya walioalikwa rasmi na walioalikwa tu kijumla na hawa ndio unawaona kwenye hilo bus.
Ubaguzi hautaisha hapa Duniani. Mabasi ya marais weusi peke yao!
Hayati Magufuli angemtuma balozi tu amuwakilishe.
View attachment 2361528