Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II
Aibu!

Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.

Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Sioni tatizo lolote hapo kwa Rais au Marais pale tu wakiwa Wengi katika Tukio Moja Kubwa na Muhimu Kupandishwa Basi Moja.

Hii hata hapa Kwetu Tanzania ilishafanyika katika awamu ya Rais Mstaafu Kikwete na hata pia katika Awamu ya Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Na hili linafanyika Kiusalama zaidi kwani katika Mkusanyiko mkubwa wa Marais kama uliopo huko Msibani Ulinzi wa Viongozi ( VIP's ) huwa ni rahisi kama Wote wakiwa pamoja kuliko kila Rais Akilindwa kivyake na Itifaki yake kwani kuna Uwezekano mkubwa ikasababisha Usumbufu fulani utakaopelekaççv hata kupoteza muda na kuharibu Ratiba ya Tukio zima.
 
Sioni tatizo lolote hapo kwa Rais au Marais pale tu wakiwa Wengi katika Tukio Moja Kubwa na Muhimu Kupandishwa Basi Moja.

Hii hata hapa Kwetu Tanzania ilishafanyika katika awamu ya Rais Mstaafu Kikwete na hata pia katika Awamu ya Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Na hili linafanyika Kiusalama zaidi kwani katika Mkusanyiko mkubwa wa Marais kama uliopo huko Msibani Ulinzi wa Viongozi ( VIP's ) huwa ni rahisi kama Wote wakiwa pamoja kuliko kila Rais Akilindwa kivyake na Itifaki yake kwani kuna Uwezekano mkubwa ikasababisha Usumbufu fulani utakaopelekaççv hata kupoteza muda na kuharibu Ratiba ya Tukio zima.
Kwa nini Biden asipandishwe mwendokasi kama maraisi wenzake ndo wananzengo wanahoji hapa.

Hebu tufafanulie hili limekaaje?
 
Aibu!

Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.

Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Hii ni itifaki ya kawaida sana hasa pale kunapokuwa na wageni wengi..wala haikuwa na haja ya kufungulia Uzi hapa..ungeuliza kwanza
 
Back
Top Bottom