Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II
Usihangaike mkuu, haters wameishiwa hoja kwahiyo sasa ni mwendo wa kuokoteza kila wanachokihisi......la kuchekesha ni kuwa kadiri wanavyoonyesha chuki zao ndivyo wanavyozidi kuonekana hamnazo mno! Sikutegemea km hawa haters ni wapuuzi hv aisee!!!!!
Sasa ni haters kivipi? Kuna hoja ya msingi hapa. Tunapoteza rasilimali nyingi kwa magari ya kifahali na kuwekana kwenye foleni kuwasubiri wapite wakati kumbe inawezekana kabisa kwao kufanya kazi kwa ufanisi kwa gharama nafuu.
 
Mbona juzi kati hapa amepanda kwenye boat toka Zanzibar? Wacheni ushamba,kitu cha msingi ni usalama wake umezingatiwa

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ile kupanda boat,sio kwa sababu anawapenda wananchi,au ni mjamaa,angekuwa mjamaa,asingekuwa anatumia gari mia kwenye msafara wake,ile kupanda boat ilitayarishwa na watu wa mawasiliano ya umma wa serikali Ili watu wajadili,watoke kwenye lengo la kudai katiba na kufatilia uchaguzi wa kenya
 
Hawa jamaa sijui walinzi na wapambe wao watakuwa wamewaacha wapi maana wakiwa huku nyumbani ni wasumbufu na mamisafara mareeefu kula Ulaya ni kama raia wengine tu.

Ukiwaangalia vizuri ni kama wanaona aibu na fedheha 🤣🤣🤣

Wazungu wanatudharau sana aisee
FB_IMG_1663579266535.jpg
Screenshot_20220919-123143_Chrome.jpg
 
Aibu!

Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.

Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Sioni tatizo ,sema tu wale waliozea misafara mirefu ndo watajisikia vibaya, maisha ni simple Sana sema tu binadam Hasa akishakua na nafasi flani hupenda complication zisizo na maana,
 
Back
Top Bottom