Hajapigwa marufuku, Commonwealth member ana natural justice to attendKwani Samia kaalikwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajapigwa marufuku, Commonwealth member ana natural justice to attendKwani Samia kaalikwa?
Not famous in the world.Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
View attachment 2361396
Aibu za kijinga hizi ndo maana jpm hakuwa anaenda ubeberuniNi Viongozi wote wa Duniani isipokuwa Biden na PM wa Israel tu
View attachment 2361399
Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.View attachment 2361396
Ya dunia ndugu yangu 😄Nimecheka sana ujue
Sasa kila raisibwa taifavlake aliye enda hapo akiingia na msafara wake hilo.foleni lake unalionaje.?? Mengine tuwe tuna waza kwa upana aubkawaida tuAibu hii picha ya Tatu ni biden akiwasili na limousine zake picha zinazofata ndio za viongozi wetu.View attachment 2361402View attachment 2361403View attachment 2361404View attachment 2361405
Wazungu wamerahisisha safi kabisa misongamano isiyo ya lazima siku ya mazishi! Basi safi kabisa air-conditioned, comfortable , aiseee sijui mlitaka VX zenu mlizozoea.....kaazi kwelikweli.
Wanatabasam tu wenyewe.[emoji16]View attachment 2361407
Wala hakuna tatizo. Huku pia si alipanda kivuko cha Azam kutoka Zanzibar kuja Dar?Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.View attachment 2361396
Mbona bus zuri tu jamani? Hawa wanaosema linafanana na linalokwenda bariadi wameona humo ndani?Sura ya Samia kwenye picha unaona kabisa anajisemea leo huko bongo mbona patachimbika kwa kupanda basi hilo 😄 🤣
Yaani anawaza "mamaa leo ntakoma huko bongo "😂😂😂Sura ya Samia kwenye picha unaona kabisa anajisemea leo huko bongo mbona patachimbika kwa kupanda basi hilo 😄 🤣
Mbona mnasahau kuna orodha mbili...kuna orodha ya walioalikwa rasmi na walioalikwa tu kijumla na hawa ndio unawaona kwenye hilo bus.Hamna ajabu hapo, Kila kiongozi awe na msafara wake isingewezekana.
Mleta mada anajifanya hakumuona Ruto, ha ha ha.Mbna na ruto namuona humo kwenye bajaji ya wazungu