Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Kijiji fulani vilitokea vita kati ya kabila X na kabila Y. Katika vile vita kabila X walionekana kushindwa. Basi maaskari wake watatu walifanikiwa kukimbia na kujificha kwenye shimo fulani ardhini.

Wakiwa chini wamejificha juu kuna majani wakapita wanajeshi wa kabila Y wakamkanyaga askari mmoja wa kabila X. Yule askari akang'aka kwa hasira.

Askari 1: "jamani kwa nini tunakanyagana?"
Wale askari wakagundua kuna mtu pale chini wakamchoma mkuki akafa.

Mwenzake kule chini akamfokea yule aliyechomwa mkuki

Askari 2: "kwa nini na wewe unasema?"

Wale askari Y wakagundua kuna mtu mwingine wakamchoma Mkuki. Akafa. Akabaki Askari mmoja aliyejificha naye akaropoka.

Askari 3: "Aheri ya mimi sijasema"

Naye wakamgundua wakamchoma mkuki akafa.

Ole Sabaya kilichomponza ni kule kusema. Kama angenyamaza watanzania walikuwa wameshasahau mabaya yake. Alipoenda kulalamika kwenye TV kuwa anakanyagwa ndipo alipo haribu.

Makonda amekuwa smart. Hajamwambia Sabaya "kwa nini na wewe unasema?" Maana angewashtua watu nao wakaanza kuchimbua yake. Makonda amenyamaza kimya.

Watanzania wamesahau zile shutma zooote zilizomhusu Makonda.wameridhika tu kuwa kwa sasa si Mkuu wa Mkoa.

Je hakuna ambaye amewaza kwenda kufungua kesi ili haya mambo kama yalikuwa kwel yakomeshwe? Je Makonda alikuwa anasingiziwa ule uhalifu na uhalamia?

Pongezi kwa Makonda. Pamoja na kukanyagwa ameendelea kunyamaza. Maana akisema tu kuwa "anakanyagwa" watu watagundua uwepo wake.

" Aheri ya mimi sikusema"

Acha umbeya. Kama una uhakika na ushahidi, Nenda mahakamani. Mnaboa sana, mwanadamu anatumia akili na ufundi kumpiga mtu majungu. Kwa aina ya uandishi huu, ungeweza kupeleka ushahidi mahakamani na kumshtaki. Acha kuvunja heshima watu.
 
Kijiji fulani vilitokea vita kati ya kabila X na kabila Y. Katika vile vita kabila X walionekana kushindwa. Basi maaskari wake watatu walifanikiwa kukimbia na kujificha kwenye shimo fulani ardhini.

Wakiwa chini wamejificha juu kuna majani wakapita wanajeshi wa kabila Y wakamkanyaga askari mmoja wa kabila X. Yule askari akang'aka kwa hasira.

Askari 1: "jamani kwa nini tunakanyagana?"
Wale askari wakagundua kuna mtu pale chini wakamchoma mkuki akafa.

Mwenzake kule chini akamfokea yule aliyechomwa mkuki

Askari 2: "kwa nini na wewe unasema?"

Wale askari Y wakagundua kuna mtu mwingine wakamchoma Mkuki. Akafa. Akabaki Askari mmoja aliyejificha naye akaropoka.

Askari 3: "Aheri ya mimi sijasema"

Naye wakamgundua wakamchoma mkuki akafa.

Ole Sabaya kilichomponza ni kule kusema. Kama angenyamaza watanzania walikuwa wameshasahau mabaya yake. Alipoenda kulalamika kwenye TV kuwa anakanyagwa ndipo alipo haribu.

Makonda amekuwa smart. Hajamwambia Sabaya "kwa nini na wewe unasema?" Maana angewashtua watu nao wakaanza kuchimbua yake. Makonda amenyamaza kimya.

Watanzania wamesahau zile shutma zooote zilizomhusu Makonda.wameridhika tu kuwa kwa sasa si Mkuu wa Mkoa.

Je hakuna ambaye amewaza kwenda kufungua kesi ili haya mambo kama yalikuwa kwel yakomeshwe? Je Makonda alikuwa anasingiziwa ule uhalifu na uhalamia?

Pongezi kwa Makonda. Pamoja na kukanyagwa ameendelea kunyamaza. Maana akisema tu kuwa "anakanyagwa" watu watagundua uwepo wake.

" Aheri ya mimi sikusema"
Asante Mungu utawala wa kishenzi umekwisha!
 
Kijiji fulani vilitokea vita kati ya kabila X na kabila Y. Katika vile vita kabila X walionekana kushindwa. Basi maaskari wake watatu walifanikiwa kukimbia na kujificha kwenye shimo fulani ardhini.

Wakiwa chini wamejificha juu kuna majani wakapita wanajeshi wa kabila Y wakamkanyaga askari mmoja wa kabila X. Yule askari akang'aka kwa hasira.

Askari 1: "jamani kwa nini tunakanyagana?"
Wale askari wakagundua kuna mtu pale chini wakamchoma mkuki akafa.

Mwenzake kule chini akamfokea yule aliyechomwa mkuki

Askari 2: "kwa nini na wewe unasema?"

Wale askari Y wakagundua kuna mtu mwingine wakamchoma Mkuki. Akafa. Akabaki Askari mmoja aliyejificha naye akaropoka.

Askari 3: "Aheri ya mimi sijasema"

Naye wakamgundua wakamchoma mkuki akafa
Mkuu umenikumbusha mbali mno, ni kwa wahenga tu ndiyo watakupata!! nafikiri ni hadithi ya darasa la tatu kitabu cha kiswahili kusoma na kuandika.

Nafikiri Askari number 1 alisema hivi : "Mbona mnawakanyaga wenzenu kama majani.."
 
Watanzania hawajasahau makonda.. Kama anajidanganya basi atakuwa anawazimu
 
Watanzania itakua ndio watu tunaoongoza kwa upole Duniani....

Tukishapiga piga kelele kwenye mitandao masikini imeisha hiyo, tunawait breaking news nyingine, na kizuri zaidi Nchi hii haikauki breaking news.
Tunadeal na tukio likiwa moto, likipoa hatuna habari nalo.
 
Mkuu umenikumbusha mbali mno, ni kwa wahenga tu ndiyo watakupata!! nafikiri ni hadithi ya darasa la tatu kitabu cha kiswahili kusoma na kuandika.

Nafikiri Askari number 1 alisema hivi : "Mbona mnawakanyaga wenzenu kama majani.."
Unaweza kuwa sawa. Nlisoma zamani sana miaka ya 80s
 
Mbona mnawaza saana huyu mtu anaitwa makonda?

Alishawalaza vichocholoni kisha akaondoka bika kuwalipa pesa?

Na kama mnampenda kwa sasa sio maana ana mke wake tayari.

Makonda kakaa kimya nyie kika siku makonda, subilini akiwa ameongea kitu ndo mmshambulie.

Kama kakaa kimya na nyie kaeni kimya.
Vip makonda anakukaza?
 
Back
Top Bottom